Wadau ni miezi kama kumi ss nipo na huyu binti kiukweli ni mzuri sana kitabia,anasoma chuo mbeya wakati huu wa mapumziko nimemtafutia Field Dar kapata naishi nae kwangu vzr amekuwa msaada mkubwa,kama mwenyezi Mungu atasaidia mwakani ndoa mwezi wa sita!ss basi shida ipo hapa kuhusu unyumba anabana sio mchezo. Namaliza week sijaonja hata ukiomba anakwambia hajisikii ikitokea ukapewa basi ni kagoli kamoja tu basi hataki tena mpk week kifupi ajisikie yy kwanza!wakuu hali hii inanipa wakati mgumu sn mpk na feel nimpige chini hebu nisaidieni mawazo!
fanyia kazi wazo hiliHujampatia huyo.
Mchape vizuri uone kama adai mwe
OTIS.
Labda unamuumiza, sidhani kama unapata raha utabana
Wadau ni miezi kama kumi ss nipo na huyu binti kiukweli ni mzuri sana kitabia,anasoma chuo mbeya wakati huu wa mapumziko nimemtafutia Field Dar kapata naishi nae kwangu vzr amekuwa msaada mkubwa,kama mwenyezi Mungu atasaidia mwakani ndoa mwezi wa sita!ss basi shida ipo hapa kuhusu unyumba anabana sio mchezo. Namaliza week sijaonja hata ukiomba anakwambia hajisikii ikitokea ukapewa basi ni kagoli kamoja tu basi hataki tena mpk week kifupi ajisikie yy kwanza!wakuu hali hii inanipa wakati mgumu sn mpk na feel nimpige chini hebu nisaidieni mawazo!
Wadau ni miezi kama kumi ss nipo na huyu binti kiukweli ni mzuri sana kitabia,anasoma chuo mbeya wakati huu wa mapumziko nimemtafutia Field Dar kapata naishi nae kwangu vzr amekuwa msaada mkubwa,kama mwenyezi Mungu atasaidia mwakani ndoa mwezi wa sita!ss basi shida ipo hapa kuhusu unyumba anabana sio mchezo. Namaliza week sijaonja hata ukiomba anakwambia hajisikii ikitokea ukapewa basi ni kagoli kamoja tu basi hataki tena mpk week kifupi ajisikie yy kwanza!wakuu hali hii inanipa wakati mgumu sn mpk na feel nimpige chini hebu nisaidieni mawazo![/Mkuu hilo ni tatizo la kisaikolojia tu. You have to learn how to to play with her brain my friend. Wanajamii naomba tumsaidie jamaa yetu jinsi ya kucheza na akili za hawa watu kwa sababu kwa vile kesha mpenda huyo bibie asipopata proper treatment kwa ajili yake wkt anatarajia kwamba binti ndio atakuwa our shem to be, nahisi kitakachofuatia baada ya ndoa yao ni threads za kuomba ushauri juu ya jinsi ya kujitoa na ndoana aliyokutana nayo. Othewise mkuu kama unahisi kuwa bado hujaridhika na michango ya ndugu zetu wanaJF naomba ni-PM nikupe hints za kufanyia kazi.]
Wadau kuhusu kufanya kazi yangu ya kiume kiukweli huwa napambana si mchezo mpaka kwa hilo mwenyewe huwa anakoma!lkn hili la kubana jamani linanikatisha tamaa kabisa na huwa nazungumza nae anasema mpaka ajisikie yy ndo anipe!