Mpenzi wangu ananiomba mchezo ambao siyo

bi shostee

Member
Joined
Jan 6, 2017
Posts
36
Reaction score
69
Kupenda ni ugonjwa na nimeamini kwa kweli huyu jamaa nampenda mpaka nikimwona tuu huwa nasikia kuloa kabla hata hatujaanza, kiukweli nimetoka na others Boy but sijawahi kutana na boy nikampenda hivi na yote ni alivyojaliwa na anavyojua mamboz huwa nafika kunako mlima Kilimanjaro hata mara 4 mfululizo. Ila inanijia mpaka nawaza sijui si ridhiki yangu maana kuna siku tulikua katikati ya mambozi akaanza kunigusa sehemu ambayo siyo kwa kidole nilikua mkali kama chui but alinibembeleza yakaisha.

Juzi tena akajifanya kakosea nilichukia sana leo na kaubaridi hichi nimemcal na kumweleza nipo hostel nahisi baridi nahitaji joto alichonijibu sina hamu eti nambania white. Na ndiyo starehe yake so nampenda huyu Boy jamani naumia maana nasikia tu ukimpa tu mwanaume dharau huanza na kama mwanaume anakupenda kweli hawezi omba huo mchezo.

Nipo dailema jamani nimfanyeje huyu nisimkose?
 
Mpe kwani umenunua hicho..
 
Tatizo sio ushauri, ni wewe na Moyo wako. Mpaka unataka ushauri maana yake hauna msimamo... Ushauri wangu mpe tu hakuna namna Kwa sababu tunasema kila siku tigo aifai, nyie bado mnaomba ushauri... Mpe tu afumue ayo marinda afu fainali Lebaaa
 
Mtanuka mavi ......unajua zile video za ngono porno zinadanganya watu .....umewahi kuona lini video ya ngono wanafirana alaf kuna vimavi mavi vinaelea ....ila wabongo mnavyokula michapati ya mama asnati badae ukala mahindi ya kuchoma tena kipindi cha mvua hiki ...mnaenda kukutana jamaa anachovya mavi tu .....
 
Usijaribu kabisa.mbali na kuwa ni dhambi sana.ni hatari kwa afya yako,kama unataka kutembea ukiwa umevaa pampas mpe. na kwa taarifa yako ni kwamba mtu anaekupenda awezi kutaka kufanya uo ushetani.
ukimpa wakati wakujifungua utasukuma mavi badala ya mtoto.


Acha upumbavu
 
Ila kumnyima mtu kitu na angali unacho ni dhambi mpe tu maana hamna namna ili usimpoteze nawe uendelee ku enjoy.....
 
Nafikiri yaitajika elimu zaidi juu ya huu upumbavu.nyie wadada fungueni bongo zenu.
 
Ila kumnyima mtu kitu na angali unacho ni dhambi mpe tu maana hamna namna ili usimpoteze nawe uendelee ku enjoy.....
Jamaa ameshamchoka anataka amuharibu ndio amuache.akijaribu ndio atampoteza na atajutia juu ya upumbavu huo.baada ya hapo yeye ndio atakuwa anataka kufirwa(ashakum si matusi)hata akikutana na mwingine yeye ndio atataka kugeuzwa.kifupi hii ni laana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…