Mpenzi wangu ananitisha nisaidieni..

Hali ndio zinazonipunguzia confidence ila naamini ananipenda swali linalozunguka kichwani mwangu ni je ataweza kukwepa mitego ya noti?

Kama suala ni pesa basi chakalika, hakuna aliyezaliwa na minoti.
 
mtoto wa kiume make sure unatimiza wajibu wako kwa huyo mpenzi wako then jiamini mzee kama ni wa kwako atakuwa wako tuu bila hata kumlazimisha ikitokea amesepa basi ujue haikuwa bahati yako.. cha msingi kama kijana work hard kwa malengo tengeneza pesa za kutosha zitakusaidia kuongeza confidence
 
wenye kisu ndo hula nyama sawa ila hushba mapema wewe utakula mwenyewe mpaka mfupa,ebwanae ukishamlala mwanamke ni wako 2 at anytime,so jiamin usifanye jambo juu ya uwezo wako bali kile kdogo utoacho kitoe haina nouma,mwanamke mpe mapenz ya dhati,kama unampenda kwel usitoke nje,na pia penda kumpa mazingira au mjengee mazingira ya kuwa waz ktk mahusiano nawe uwe dynamic,i have once pased via the same isue,thank God ilifika mahal nkagonga moyo konde nkaweka wivu mkubwa pemben mpaka sa hv nafaid utamu wa kupendana
 
Muhimu jaribu kumwani lkn, chunguza mwenendo wake ktk mahusiano yenu,anaweza kuwa wk daima.
 
wewe
na wewe mtishe
 
Hivi Mkatoliki akishaokoka bado anaendelea kuwa RC?. Itabidi nikamuulize paroko wangu Fr. Manthuetus pale St. Joseph anieleweshe.
 
kaka yangu huwezi kumwamin m2 kama wewe mwenyewe hujiamini.anza kwa kujiamini mwenyewe then itakua rahisi kumwamini mwenzio.sisi wanawake 2naamini wote ni wazuri ndo mana 2natongozwa na 2napenda wanaume wanaojiamin hata kama ni mpaka rangi au muuza mihogo kikubwa ni kujiamin kwake.
 

Nilifikiri wewe ndio uliandaa hiyo birthday! pole sasa kwa kujikausha unajua kila kitu...kwamba unaibiwa, kutambulishwa ndio nini...umeniudhi kwa kujifanya hujui kinachoendelea.
 
bint wa chuo anakutana vipi na watu wenye mausafiri ya bei ghali hata mm ningehofu yaani mpaka uwaalike watu fulani kwenye bday yako ni mpaka wawe kwenye network yako tafakari chukua hatua
 

khaa!kumbe weye zombie?? Kama vipi change title maana wewe ndo utakua wamtisha mpenzi wako!!
 

bora umwambie tu huyu mvulana.labda angekua mwanaume angejiamini.
 
bint wa chuo anakutana vipi na watu wenye mausafiri ya bei ghali hata mm ningehofu yaani mpaka uwaalike watu fulani kwenye bday yako ni mpaka wawe kwenye network yako tafakari chukua hatua

Nifundishe nichukue hatua gani?
 

hehehehehe. .Ngoja nifunge maombi ya usiku kucha,ili wife aangukie kwenye hiyo 10% iliyobakia..Niepuke kum kanumba <rip> v\s lulu bure..
 
khaa!kumbe weye zombie?? Kama vipi change title maana wewe ndo utakua wamtisha mpenzi wako!!

Tehe tehe nilikuwa nimenuna umenichekesha vp nimekugusa nini? Mi sio zombie ila sina mahela ya kutosha ndio maana nina hofu vanila plz help me usinibeze
 
bint wa chuo anakutana vipi na watu wenye mausafiri ya bei ghali hata mm ningehofu yaani mpaka uwaalike watu fulani kwenye bday yako ni mpaka wawe kwenye network yako tafakari chukua hatua

Bora unisaidie kujiuliza hayo maswali ila wawili walikuwa ma assistant tuitor wa pale chuon kwao ni vijana wadogo waliotaka labda kutokana na pesa zao.
 
Nilifikiri wewe ndio uliandaa hiyo birthday! pole sasa kwa kujikausha unajua kila kitu...kwamba unaibiwa, kutambulishwa ndio nini...umeniudhi kwa kujifanya hujui kinachoendelea.

madam mi nilichangia sam part kwani ka uwezo kangu kaliishia hapo kama ujuavyo birthday haikuwa na gharama zaidi ya keki na ukumbi ila ugharama ulikuja pale kwenye zawadi walinishinda hata mimi mpenzi wa birthday girl.ROHO ILINIUMA SEMA TU SIKUPAONA PA KWENDA KUSHITAKI ndio maana nimewashirikisha movie nzima ili nisaidiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…