Tehe tehe nilikuwa nimenuna umenichekesha vp nimekugusa nini? Mi sio zombie ila sina mahela ya kutosha ndio maana nina hofu vanila plz help me usinibeze
madam mi nilichangia sam part kwani ka uwezo kangu kaliishia hapo kama ujuavyo birthday haikuwa na gharama zaidi ya keki na ukumbi ila ugharama ulikuja pale kwenye zawadi walinishinda hata mimi mpenzi wa birthday girl.ROHO ILINIUMA SEMA TU SIKUPAONA PA KWENDA KUSHITAKI ndio maana nimewashirikisha movie nzima ili nisaidiwe
mhu, kasheshe ,, mapenz s uzur wala sipesa ,, umuhimu n tabia sio uzur wa sura ,pole kaka ,sasa ww unataka uzur wa huyo mwanamke au kitu gani? usijizalilishe bro ,ikiwa anakupenda huyo basi ata kuekea heshima hatojali ww uk tajir au maskin ,, na ikiwa yy sijui mlokole au whtever s ana iman ya kidin ?sasa ww mtizame hapo ,mazali unampenda endelea kumpenda ,chunga heshima yako , na kama yy anakupenda pia basi hatojali ivyo vzawadi uchwara ,kila kitu kina muda wake sio. s ata tumia then vitapotea, dont stressout yr self ,, pole sana ,, wangapi walikuweko na walikuwa wazur wanafutwa mpaka na kuku ,ila wameptea kwa kuzani kama ule uzur utakuwa image yao ya milele ,usipende mtu kwa muonekano wake ,penda mtu kwa roho yake na tabia yake ,samahani kama nitakukwanza but nahisi tuna saidiana mawazo best f luck
Mimi ni mvulana ambaye ndo kwanza naanza maisha tatizo la ajira nahisi limenifanya nijishughulishe na vibiashara vyangu vidogovidogo ambavyo vina nipa kula na mahitaji mengine.Katika maisha yangu ilitokea nilifanya mambo mengi ya kishujaa kwa msichana ambaye nipo nae hadi sasa.Nashukuru MUNGU kwa kujitoa kwangu kufanya mema kwa huyu msichana ikambidi anieleze kuwa nastaili kuwa mpenzi wake kitu ambacho sijawahi kuota.Huyu msichana kwa kweli ni mzuri sana pia ni mlokole mkatoliki.Uzuri wake umekuwa gumzo machoni na midomoni mwa watu.
Kilichonisibu kuandika ni hivi:Huyu binti hana bahati ya kutongozwa na watu wa hali chini labda wengi wao wanamtania ila watu wenye pesa wanamzonga sana mpenzi wangu japokuwa ananieleza nisihofu atayashinda majaribu na mbaya zaidi imefikia hatua hata ndugu zake wa kiume kumtongoza jambo ambalo linanitisha.Bado ni mwanachuo ila huko nako malecturez and staffs wa pale chuo wanamsumbua kwa kasi mno juzjuzi kaanda sherehe ya birthdei wamekuja watu wenye mausafiri ya gharama na zimetolewa zawadi za kutisha hadi moyo wangu umeingia hofu.Namshukuru mpenzi wng kwa kunitambulisha kama mtu wake mbele ya umati ule lakini BADO KICHWA CHANGU KINALOAD SANA NAHISI HAYA MAHUSIANO YATAENDA KUNICHACHIA HUKO MBELE YA SAFARI kwa maana najiuliza ataweza kuruka vikwazo vya hawa watu wenye hela kushinda mimi mpenzi wake.KWA KWELI NATUMIA ENERGY NYINGI KULEA PENZI LANGU HUWA NATAMANI HATA NINGEMPATA ZOMBIE MWENZANGU NISINGEKUWA NA HOFU KAMA HII.Nisaidieni nitumie technique gan kumlea huyu mtoto ambae naona sio hadhi yangu hadi wazazi wangu wanaoneshwa kuwa na hofu nae kutokana uzuri wake umekuwa exeption sana.
duhh...umeconclude vp kuwa yeye ni mzuri sana wa kutisha?
vgezo gan umetumia?uenda wewe ndo wamuona mzuri wakat wenzako wanamuona wa kawaidaaaaaaaaaaaaa....EBU ELEZEA LABDA YUKOJE YUKOJE nipate picha japo ya uyo cleopatra wako:A S 41:
mimi ni mvulana ambaye ndo kwanza naanza maisha tatizo la ajira nahisi limenifanya nijishughulishe na vibiashara vyangu vidogovidogo ambavyo vina nipa kula na mahitaji mengine.katika maisha yangu ilitokea nilifanya mambo mengi ya kishujaa kwa msichana ambaye nipo nae hadi sasa.nashukuru mungu kwa kujitoa kwangu kufanya mema kwa huyu msichana ikambidi anieleze kuwa nastaili kuwa mpenzi wake kitu ambacho sijawahi kuota.huyu msichana kwa kweli ni mzuri sana pia ni mlokole mkatoliki.uzuri wake umekuwa gumzo machoni na midomoni mwa watu.
Kilichonisibu kuandika ni hivi:huyu binti hana bahati ya kutongozwa na watu wa hali chini labda wengi wao wanamtania ila watu wenye pesa wanamzonga sana mpenzi wangu japokuwa ananieleza nisihofu atayashinda majaribu na mbaya zaidi imefikia hatua hata ndugu zake wa kiume kumtongoza jambo ambalo linanitisha.bado ni mwanachuo ila huko nako malecturez and staffs wa pale chuo wanamsumbua kwa kasi mno juzjuzi kaanda sherehe ya birthdei wamekuja watu wenye mausafiri ya gharama na zimetolewa zawadi za kutisha hadi moyo wangu umeingia hofu.namshukuru mpenzi wng kwa kunitambulisha kama mtu wake mbele ya umati ule lakini bado kichwa changu kinaload sana nahisi haya mahusiano yataenda kunichachia huko mbele ya safari kwa maana najiuliza ataweza kuruka vikwazo vya hawa watu wenye hela kushinda mimi mpenzi wake.kwa kweli natumia energy nyingi kulea penzi langu huwa natamani hata ningempata zombie mwenzangu nisingekuwa na hofu kama hii.nisaidieni nitumie technique gan kumlea huyu mtoto ambae naona sio hadhi yangu hadi wazazi wangu wanaoneshwa kuwa na hofu nae kutokana uzuri wake umekuwa exeption sana.
Mangi kweli umempa promo shemeji unasema ni mzuri mpaka unapata wasiwasi,Kwa nini sasa unapata hofu,Na hao mausafiri yaliyokuja kwenye sherehe yake nani aliwajulisha wote kuwa yye anaparty siku hiyo?Mimi ni mvulana ambaye ndo kwanza naanza maisha tatizo la ajira nahisi limenifanya nijishughulishe na vibiashara vyangu vidogovidogo ambavyo vina nipa kula na mahitaji mengine.Katika maisha yangu ilitokea nilifanya mambo mengi ya kishujaa kwa msichana ambaye nipo nae hadi sasa.Nashukuru MUNGU kwa kujitoa kwangu kufanya mema kwa huyu msichana ikambidi anieleze kuwa nastaili kuwa mpenzi wake kitu ambacho sijawahi kuota.Huyu msichana kwa kweli ni mzuri sana pia ni mlokole mkatoliki.Uzuri wake umekuwa gumzo machoni na midomoni mwa watu.
Kilichonisibu kuandika ni hivi:Huyu binti hana bahati ya kutongozwa na watu wa hali chini labda wengi wao wanamtania ila watu wenye pesa wanamzonga sana mpenzi wangu japokuwa ananieleza nisihofu atayashinda majaribu na mbaya zaidi imefikia hatua hata ndugu zake wa kiume kumtongoza jambo ambalo linanitisha.Bado ni mwanachuo ila huko nako malecturez and staffs wa pale chuo wanamsumbua kwa kasi mno juzjuzi kaanda sherehe ya birthdei wamekuja watu wenye mausafiri ya gharama na zimetolewa zawadi za kutisha hadi moyo wangu umeingia hofu.Namshukuru mpenzi wng kwa kunitambulisha kama mtu wake mbele ya umati ule lakini BADO KICHWA CHANGU KINALOAD SANA NAHISI HAYA MAHUSIANO YATAENDA KUNICHACHIA HUKO MBELE YA SAFARI kwa maana najiuliza ataweza kuruka vikwazo vya hawa watu wenye hela kushinda mimi mpenzi wake.KWA KWELI NATUMIA ENERGY NYINGI KULEA PENZI LANGU HUWA NATAMANI HATA NINGEMPATA ZOMBIE MWENZANGU NISINGEKUWA NA HOFU KAMA HII.Nisaidieni nitumie technique gan kumlea huyu mtoto ambae naona sio hadhi yangu hadi wazazi wangu wanaoneshwa kuwa na hofu nae kutokana uzuri wake umekuwa exeption sana.