Mpenzi wangu ananitisha nisaidieni..

Aliwezaje kuvishinda mpaka ukamkuta salama?
 
Aliwezaje kuvishinda mpaka ukamkuta salama?

Kwani nani kakuambia aliyekuwa msafi nyuma hata mbele ya safari lazima awe msafi people are dynamic hata jambazi wa leo huko nyuma alikuwa msafi.
 

js una busara sana MUNGU akubaliki
 
billie ,mbona moga sana, ww usijali huyo wak .lakin usijisress mtu wangu ok cooldown

Wahida ki ukweli ni kweli sina confidence ila nipo kwenye harakati za kuijenga confidence I wont let down dear
 
Jamani mapenzi yanaanitatizaeee...
Kulala silalii... Chakula sitakii...
 
Where ur confidence and faith on her? Think big nigga
 
best we ni mwandish kama eric shigongo, acha fix..uyo dada angekua mzur kias icho tz au dar yote ingemtambua hahaha duh! We noma, una kipaji.
 
best we ni mwandish kama eric shigongo, acha fix..uyo dada angekua mzur kias icho tz au dar yote ingemtambua hahaha duh! We noma, una kipaji.

We unahisi nikikutungia napata nini kwako jifunze kuwa na imani na wenzako hata mimi nimekosa imani ndiyo maana sifurahii mapenzi kutoka kwa mdada ambae wengi wanatamani kuwa nae.
 
mm wa watu sijui nikoje...sijawahi pata BP na hawa viumbe...bo!wote naona kawaidaaaa!
 
wewe kinacho kusumbua ni inferiority complex, yani hujiamin muda wote una hofu ya kunyanganywa. Kama asingekuwa anakupenda asinge taja cheo chako mbele ya watu wote pale.
 
Mapenzi ni tofauti na tamaa za mwili, Acha kuangalia mapenzi kwa mambo yanayoonekana kwa macho. Mapenzi hayalinganishwi na kitu au pesa. Mpe mpenzi wako anachotaka. Anakupenda nawewe mpende mpendane.
 
hahahhahha hahahhhhhhh daah aiseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…