Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila saa uko wapi uko wapi aah.Sasa kuulizwa upo wap kuna tatizo gan? Mda mwingne anaitaji kujua kama upo salama tu au anakuwa bored anatafta mtu wa kumpa kampani ila ajui akuanzaje, Siku nyingine akikuuliza hiv mjibu ulipo alaf anzisha story we mpe ata umbea wa kutunga tu uone atakavyo furahi
Kwan kuna tatzo? We mjibu aridhike tena uwe unamuwai kabla ajakuulizaKila saa uko wapi uko wapi aah.
Atamkondesha mtoto wa watu kwa mawazo+ wivu, yeye ajibu tu ata kama ni uongo.Usimjibu ataacha
ila tambua hayo ni ya muda tu
🤣🤣🤣Ila kweli Kuna nyakati unakuwa hujijui Kama uko single au unadateSas ndio utufungulie thread kwel?? Au waja hapa kuturusha roho akina sie tusio kuwa na uwakika kam tupo single ama tupo ktk mahusiano yasiyoeleweka yanahusiana na nini, yaan inaweza pita week hatujatafutwa bt we don't mind the fucken biznes of our lovers....
Mkipendwa mpendekee jmn mnataka mpewe nn??
Nikajua ni watu wasiojulknana kumbe upumbavu