Mpenzi wangu anapenda ngono sana, nashindwa kumhimili

Kabidhi kwa wenye uwezo!
 
Piga pumbu kijana kula ugali wa kutosha mzee baba, nakumbuka niliwai pata demu kama uyo kipindi tunaanza nilikuwa namtia kawaida sasa yeye alikuwa anaonekana anataka mda wote aisee usinitanie nilimwashia moto yule demu nilikuwa namtia dah acha tu mpk akawa anakimbia uwez amini nilipiga pumbu mpk alikuwa anagoma kuja geto so uyo mashie moto tu atanyooka mwenyewe
 
Km wewe umeshindwa kuhimili makeke ya mbususu ya mkeo tualike vidume vya mbegu.Weka Namba ya simu ya mkeo tukusaidie.Sisi Wanaume tunapendana hatuwezi kukubali Mwanaume mwenzetu uaibike kizembe hivyo TUTAKUSAIDIA, maana maisha ni kusaidiana.
 
Nimewahi kua na mdada wa hivyo,mmmh.... tena alikua na ndevundevu,anapenda kinoma,hata upigaje,yeye anakupa tu,nilifikiria nikapata jibu,labda ana homoni za kiume nyingi hasa ukizingatia ana ndevu kama mimi.

Anaitwa nani?

PM
 
Eti analalamika badala ya kufurahia 😂
Nadhani kama nimemuelewa mtoa mada ni kuwa huyo bidada atakuwa na ugonjwa (bila kujijua) wa nymphomania (excessive sexual desire) ni kama disorder...Kwa hiyo utakuta muda mwingi anahitaji tendo na tendo analifanya haswaaa.Sidhani kama mwanaume wa kawaida anaweza kuendana na hilo hitaji....vinginevyo atajiumiza na labda akutane na mwanaume nae wa hali hiyo!!!
 
Kuna story inafanana na hii kuna siku vijana watatu walikutana katika mgahawa; mmoja akaanzisha stori kuwa kuna kabinti kanahudumu pale ni balaa ktk majambozi yaani hakatosheki.Kijana mmoja akawa anabisha oooh wewe itakuwa ulikuwa haumpelekei moto vizuri n.k...n.k...Yule kaka wa tatu nae baadae akafunguka akamwambia yule anayebisha kuwa usibishe...Kumbe yeye (kaka wa tatu) alikachukua kabisa akawa anakaa nako geto kama miezi 3 akitaka kukaoa lakini aliachana nae kwa kuwa kabinti kalikuwa kanahitaji gemu karibu muda wote...Namnukuu "mimi na uroho wangu wote wa papuchi pale nilinyoosha mikono". Kwa hiyo hizi kesi za mtoa mada zipo ila ushauri ni kuwa mtoa mada jipime kama unaweza kuenenda na hiyo kasi au laa,ila matumizi ya madawa sio mazuri..Zaidi mtoa mada unaweza mshauri bidada kama ni msikivu kuwa aende hospitali apate tiba kwani hiyo ni aina ya ugonjwa/disorder.Nadhani kuna vidonge vya kushusha hizo homoni zinazohusika au ushauri nasaha.
 
wenzio wake zetu huwa wanataka kukimbia wewe mwanamke ndio anataka kukimbia?
 
Daaah hta manzi yangu yupo hvo sema kwakuwa mm ni mtu wa mazoez sahv anakuja kila baada ya cku 2 au 3
 
Kuna wadada wanatiana,yaani unaweza ukakonda,hata kama unakula vizuri.Yaani usiku ni kumpelekea moto tu,asubuhiasubuhi umpelekee,saa nne asubuhi umpelekee moto,mchana umpelekee moto, usiku tena... daah!
Ukimuoa huyo,jiàndaé kuchapiwa
 
[emoji3] tubadilishane mkuu maana huyu wangu ht mzuka hana
 
Nimewahi kua na mdada wa hivyo,mmmh.... tena alikua na ndevundevu,anapenda kinoma,hata upigaje,yeye anakupa tu,nilifikiria nikapata jibu,labda ana homoni za kiume nyingi hasa ukizingatia ana ndevu kama mimi.
[emoji3] umenifungua macho mkuu, kuna mmoja hp mtaani namfukuzia nammezea mate muda mrefu ana hyo asili ya vindevu ngoja na mm nimtest nione km ni mpenda mechi atanibamba kinoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…