dali kimoko
Senior Member
- Jan 25, 2021
- 114
- 139
Mimi nimeoa na mke ila nimekutana na mdada nae ni single mother tulianza mahusiano yapata mwaka sasa, ananipenda sana ila naona mwisho sio mzuri, coz kwanza anapenda sana sex, sasa kwa maisha hya ya kibongo ukipiga hesabu kudate nae 30,000x4 = 120000/ sasa kwa kipato gani unafanya zinaa tu?
Je kuna haja ya kuendelea na mtu kama huyu?
Je kuna haja ya kuendelea na mtu kama huyu?