dali kimoko
Senior Member
- Jan 25, 2021
- 114
- 139
No, naruka mkojo nakanyaga mavi bro?Mpangie uwe unamchangia kodi kuepuka pesa za guest.
Mimi nimeoa na mke ila numekutana na mdada nae ni single mother tulianza mahusiano yapata mwaka sasa, ananipenda sana ila naona mwisho sio mzuri, coz kwanza anapenda sana sex, sasa kwa maisha hya ya kibongo ukipiga hesabu kudate nae 30,0000x4 = 120000/ sasa kwa kipato gani unfanya zinaa tu? je kuna haja ya kuendelea na mtu km hyu?
Njoo na ushauri sio matusi sasa km huna kaa kimya.
Mara 4 kwa wiki au ๐ฎ
Au labda tumuelekeze zile gesti za buku nne nne.Kwa hiyo unataka ushauri gani?
1. Tukupe mbinu za kuongeza kipato ili 120,000/= usiione kubwa?
2. Tukupe mbinu za kupunguza hayo matumizi?
3. Tukushuri uachane na mchepuko?
4. Tukwambie piga chini mke, oa mchepuko ili kuondoa gharama?
Huyu anataka utamu huku akipunguza matumiziWikiendi 4 katika mwezi, yaani kila wikiendi jamaa anaenda kupata utamu kwa mcheps...
Buku 30 ni pesa ya lodge, chips yai mishikaki na maji kubwaaa ya baridi...๐
Huyu anataka utamu huku akipunguza matumizi
Basi afanye once per month ๐ค
Au aache kabisa ๐๐ฝโโ๏ธ
Basi asituchoshe ๐คฃKuacha hataki huyu ndio maana kaleta uzi...kashalamba asali sasa anataka afunzwe kujenga mzinga ๐๐
ushauri #3Basi asituchoshe ๐คฃ
No, naruka mkojo nakanyaga mavi bro?
Sasa bro tokea lini mtu anaitwa Illuminata Rodgers akawa bro?No, naruka mkojo nakanyaga mavi bro?