Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Sorry, sikua nimeona hio ID, NIwie radhi.Sasa bro tokea lini mtu anaitwa Illuminata Rodgers akawa bro?
Dah mmetiririka sana, nadhani ushauri wenu sio mbaya ila naona nibaki njia kuu tu,tunayumba sana wanaume.sorry, sikua nimeona hio ID, NIwie radhi.
Mkuu Tungepoteza Ndugu Yetu Angeanza Kumwaga Upepo.Mara 4 kwa wiki au [emoji50]
🤣🤣Kwamba kwa kutaniko moja huwa mnaspend Tsh. 30,000?
Huwa mnakutana Vichakani ama?
vichakani? hotel best 30000/per room.🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣
Piga chini mke kisha oa mchepuko halafu njoo utusimulie matokeo.Umeoa afu hutaki kutulia na Mke wako afu unakuja kulalama tukushauri.Ulipoamua kuchepuka,tayari ulimuona mke wako hana thamani.Ili kupunguza gharama achana na Mke wako kisha Oa huyo mwenye thamani kwako maana inawezekana kabisa hizo gharama unazotumia kwa mchepuko hata mke wako sizani kama ushawahi kumpa hata Zawadi ya Khanga sh elfu Kumi na tatu.Mimi nimeoa na mke ila numekutana na mdada nae ni single mother tulianza mahusiano yapata mwaka sasa, ananipenda sana ila naona mwisho sio mzuri, coz kwanza anapenda sana sex, sasa kwa maisha hya ya kibongo ukipiga hesabu kudate nae 30,000x4 = 120000/ sasa kwa kipato gani unfanya zinaa tu? je kuna haja ya kuendelea na mtu km hyu?
Njoo na ushauri sio matusi sasa km huna kaa kimya.
Hapo ina maana mwanamke anapata starehe mara nne tu kwa mwezi ni halali hapo na unasema anapenda sex kweli kuwa serious na mtendee hakiMimi nimeoa na mke ila numekutana na mdada nae ni single mother tulianza mahusiano yapata mwaka sasa, ananipenda sana ila naona mwisho sio mzuri, coz kwanza anapenda sana sex, sasa kwa maisha hya ya kibongo ukipiga hesabu kudate nae 30,000x4 = 120000/ sasa kwa kipato gani unfanya zinaa tu? je kuna haja ya kuendelea na mtu km hyu?
Njoo na ushauri sio matusi sasa km huna kaa kimya.
Na hilo ndio jibuAnapenda ngono, sio kwamba unamla vzuri ..
Nikwamba a napenda kukutana nawewe Mara kwa Mara. Kwa sababu kila akikutana nawewe. Unamuachia Hela.
MTU wa watu hana namna ..na pengine unampa hela siku mnayokua mmekutana.
Siku nyingine. No pesa !!.
Bado hata hatujasalimiana.
Heri ya mwaka mpya ,Dear.
Nishakata shauri, narudi njia kuu, staki stress km unatka nikupe hilo zigo sema ila utaliaUshauri wangu bora member humu tumchangie kila mwezi isipungue 120,000/-
Ni aibu kwa member wote humu kushindwa kumsaidia jamaa hela ndogo kiasi hicho.
Mtoa mada weka namba yako ya muamala wanajamii tuokoe jahazi.