Mpenzi wangu baada ya kutoa mimba kwa vidongenge majibu ni haya

Snipperkilungu

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
253
Reaction score
424
Habari za sahizi wana jamvi ningependa mnifahamishe nimempa mimba mwanafunzi wa kidato cha sita sasa yeye ameniambia aitaji kuzaa tukashauriana tuitoe sasa amekwenda duka la dawa akaanunua vidonge akavitumia kama alivyo elekezwa damu imtoka kidigi sana

Swali je ni baada ya muda gani utagundua kama mimba imetoka au raha na ata ukipima inaonyeshe kama kama imetoka naombeni msaada waungwana maana naogopa kwenda kuozea segerea
 
Angalia usije ukaozea segerea kwa kuua, mnaanzaje kufanya hayo mambo kama hamjui chochote?

Hujasema ni vidonge gani umempa? amemezaje? mimba ni ya muda gani?

All in all hicho kitendo umefanya sio kizuri utakuja kuua watoto wa watu.

Mimi sina cha kukusaidia hapa asee ngoja tuwasubiri wajuzi.
 
kwahyo ultaka mwenzio akapigwe mvua ya miaka 30?? unaongea kama hujui umuhim wa alichokifanya.
 
Kama mimba imetoka au raha! Mimi nimepapenda hapo tu mkuu...
Tungoje wajuzi waje...
 
Ck nyingine usirudie,,,yaan unatembea na miaka 30 jela we jamaa uache kabisa,,,dhambi ya kuua itakuandama utakuwa mzoefu ck zijazo,,,haya jibu ni ck saba,,ungeomba ushaur kabla hujaharibu ningekushaur sawasawa
 
kwahyo ultaka mwenzio akapigwe mvua ya miaka 30?? unaongea kama hujui umuhim wa alichokifanya.
eeeh akapigwe tu hiyo mvua, kwani wakati anamtongoza na na kwenda kujuana nae tena bila kinga alikua anadhani analima mpunga avune mpunga...[emoji20][emoji20][emoji20]
 
Watuu hamkomii tu!???? Aiseee miaka 30 kwa bao mojaaa..
 
Narudia teña usirudie kufanyaa huo upuuz na mwanafunz ,,chunga tamaa mbaya,kuna bint alikufa hivihiv shulen enz hizo boarding...akameza midawa kumbe uchafu ukabaki...kwenda hospital ya wilaya hakurud hai alikuwa mfuu...pale cdhan km hata aliyempa km alionekana msibani...inaumiza sana yaan,...mungu akubadilishe kutaman wanafunzi
 
Mkuu umepima kama hukumpa na kaukimwi?? Ni kamimba tu???

Sasa vidonge alivyopewa kuna vya kumeza n vingine vya kiweka kwenye K

Akikosea kuweka mimba haitoki,,

Kama mimba ni kubw pia haitoki

Si njia salama sanaaaaa! Ama si salama kabisa mana inaweza kuharibu mimba ila akabaki na uchafu

Mwambie aende hosp ,, atapata hiyo huduma huko

Nyie mnaomcheka na kuponda aliyee msafi kabis arudi tena kumsema mtoa post
 
Njoo PM nikwambie kitu cha kufanya
Kwann aje, we si ndo unamwambia cha kufanya mtumie msg tu!

Mtoa ppst usipoangalia utaingia nyavuni hukohuko PM. Watu wapo kazini.
 
pole sana mkuu
ila usijerudia kosa hilo kutembea na wanafunzi utafungwa bure mbona wapo wanawake wengi hadi wanasagana kwa kukosa wanaume .

post-abortal care ni legal na ni haki ya kila mwanamke jambo la msingi ni kuwa makini usijichanganye kusema hospitalini kuwa uliabort semeni ilitokea bila sababu mana kutoa mimba ni iilegal ila post-arbotal care ni legal mana sio kila arbotion ni induced nyingine ni idiopathic ivo wana haki ya kupata huduma
 
wakati unafanya naye ulikuwa huogopi?, ila segerea unakuogopa? hahahahaaa.....ukipenda boga penda na ua lake brooo!!!
ukigundulika Magu atazaa na wewe
 
Mkuu aliniambia kapewa vidonge vinne viwiki kanywa viwili kaweka kwenye k sasa ninachotaka kujua kama imetika au bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…