Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Yaaan naandika huu uzi huku niki fikiria hawa viumbe sijui wakoje kwa kweli wanawake hawanifikirii mara mbili mbili midomo yao ndio inawaomgoza.
Yaan kuna dem alionesha kuvutiwa na mimi nikasema sio mbaya wacha nimtokee maaan mimi sio mtu wa totoz saan kweli mambo yakatiki ni mwaka sasa ila sijasex nae Zero IQ utanisamee .
Me sikumpenda ila ni tamaa tuu tatizo lake bwana wakati mnachati unaweza mwambia kitu anajibu ok,saw mpaka namuuliza nakukera anasema hapana yaan hana majibu mazuri kabisa anakera mno mpaka sometimes sijibu text namwambia nilipitiwa na usingizi.
Nikaamua kumkalia kimya leo rasmi nimevunja mkataba wa kazi ya kanisa isitoshe mtu mwenyewe shape kama namba 9 ninamsitiri tuu alafu anajikuta keki
KANIBOA SANA .
SORRY KWA UANDISHI MBAYA VUMILIENI TU.
Ahsanten kwa kucomment nilikua najaribu kama naweza kuandika story hahahaha
Yaan kuna dem alionesha kuvutiwa na mimi nikasema sio mbaya wacha nimtokee maaan mimi sio mtu wa totoz saan kweli mambo yakatiki ni mwaka sasa ila sijasex nae Zero IQ utanisamee .
Me sikumpenda ila ni tamaa tuu tatizo lake bwana wakati mnachati unaweza mwambia kitu anajibu ok,saw mpaka namuuliza nakukera anasema hapana yaan hana majibu mazuri kabisa anakera mno mpaka sometimes sijibu text namwambia nilipitiwa na usingizi.
Nikaamua kumkalia kimya leo rasmi nimevunja mkataba wa kazi ya kanisa isitoshe mtu mwenyewe shape kama namba 9 ninamsitiri tuu alafu anajikuta keki
KANIBOA SANA .
SORRY KWA UANDISHI MBAYA VUMILIENI TU.
Ahsanten kwa kucomment nilikua najaribu kama naweza kuandika story hahahaha