Mleta mada anaomba ufafanuziBaada ya kusoma content, nikushauri
Kama unatafuta mwanamke wa kuuzia sura na yale mahaba ndi ndi ndi,
UYO HAKUFAI ACHANA NAE HARAKA SANA.
Ila Kama unatafuta mwanamke wa kuoa na kua mama Bora wa familia yako,
UYO ANAKUFAA 100% MUOE HARAKA SANA.
Kama ujaelewa sema nikufafanulie
Kuna mawili aidha ufuate njia yake ama ufuate yako.. Mapenzi ni furaha na mawasiliano kama hivyo viwili vinapatikana kwa manati chapa lapa usije kufa kwa stressJamani kama nilivyotangulia kusema hapo juu kwenye heading, naombeni Ushauri wenu kwenye Hili. Iko hivi nina mpenzi wangu ambaye tuna mda wa miezi 6+ kwenye mahusiano, japo tumekua karibu tangu 2020, ila mahusiano rasmi ni hiyo miezi 6.
Huyu mpenzi wangu nilipanga kumuoa mwishoni mwa mwaka huu au mwakani mwanzoni. Ila amekua akinichanganya kwenye baadhi ya mambo kama ifutavyo.
1. Amekua ni mtu wa kutoa sababu nyingi sana hasa pale ninapohitaji kuonana naye. NB hatukai pamoja ila ni karibu, kwa maana umbali wake ni mwendo wa masaa machache tu.
2. Kwa mda wote huu hajawahi kuniambia ananipenda. Nikimhoji, anasema mtu anaweza kukuambia hizo romantic words na bado asikupende. HIVYO yeye husema ananipenda hata kama haniambii.
3.Mawasiliano. hana ile akutafute asubuhi mchana na jioni. Bali mnaweza kuongea hata saa 11 jioni, hiyo ndiyo imetoka, usiku hataki mzungumze tena au kutakiana usiku kwema. Kwake mkiongea mara moja tu kwa siku inatosha. Kiufupi hapendi sana mawasiliano ya KILA mara.
4. Hayuko romantic sana. Neno pekee analolijua ni "mpenzi" hajawahi niita kwa neno nje zaidi ya hilo. Hata tu mpenzi wangu, mchumba wangu, or even mume wangu sijawahi sikia masikioni mwangu. Simply hana kabisa yale mambo ya kihindi
5. Haonyeshi wivu wowote wala hofu au wasiwasi juu yangu, siyo mdadisi juu ya maisha yangu kabisa
6. Usipomtafta, lazima atakutafta sana tu ila shida zake ndio hizo hapo 1-5
. UBORA WAKE. 1. Mchapa kazi, mcheshi, charming and disciplined na mkarimu
2.Anavaa vizuri/Anajua kujistiri, hababaiki, etc.
3. Siyo mlalamishi au mtu wa kupenda kesi kesi
4. Ni mwepesi sana kusamehe na kupotezea vitu, hata kama utamkosea
5. Ni mchakarikaji siyo mtu wa kubweteka.
She is 22 hasomi, yupo home since 2018 after completing form 4, I am 27, nampenda sana, ila yeye sielewi kama ananipenda kweli kulingana na sababu hapo juu.
Wazoefu naombeni mnisaidie niendelee naye au nishike hamsini zangu . Kulingana na hayo niloyaeleza hapo juu. Wakuu nipo njia panda karibuni kwa mchango wenu wadau situation kama hiyo hapo juu innakua na maana gani?
Ha ha ha.....Ukiona Hufanyiwi wewe Kuna mwenzio mpaka Anayaona kero huko anatafuta wa kumpunguzia.
Comment murua KABISA,watu watarukaruka hapa na coments zao lkn ukweli halisi ndo huo
wife material wengi hawanaga mbwembwe
aanze kukutafta asbh, mchan na jioni ili iweje?
kutwa akuimbie nakupenda ili iweje??
upendo unakaa moyoni na siyo mdomoni..
hakufatilii uko wapi , unafanya nini kwa kuwa anakuamini.
we kama umempenda muoe, hayo mengine yatajiset yenyewe
Fantasy HARAKA,Daah brother ujue hadi naogopa upendo gani wa design hiyo. Cha ajabu haniombi pesa yeye anataka tuwe tu wote
Akupigie mara tatu,mara akuonee wivu nawakati huo asimamie biàshara zake ,mara kuagiza mzigo mara kupiga mahesabu,ni ngumu kwakweliwatu watarukaruka hapa na coments zao lkn ukweli halisi ndo huo
wife material wengi hawanaga mbwembwe
aanze kukutafta asbh, mchan na jioni ili iweje?
kutwa akuimbie nakupenda ili iweje??
upendo unakaa moyoni na siyo mdomoni..
hakufatilii uko wapi , unafanya nini kwa kuwa anakuamini.
we kama umempenda muoe, hayo mengine yatajiset yenyewe
Nilihitaji ufafanuzi wako lakini
Kwanini ulazimishe mapenzi ni bora ukacheze amapiano uongeze siku za kuishi, hapo hakuna mapenzi, she is not attracted to you!Jamani kama nilivyotangulia kusema hapo juu kwenye heading, naombeni Ushauri wenu kwenye Hili. Iko hivi nina mpenzi wangu ambaye tuna mda wa miezi 6+ kwenye mahusiano, japo tumekua karibu tangu 2020, ila mahusiano rasmi ni hiyo miezi 6.
Huyu mpenzi wangu nilipanga kumuoa mwishoni mwa mwaka huu au mwakani mwanzoni. Ila amekua akinichanganya kwenye baadhi ya mambo kama ifutavyo.
1. Amekua ni mtu wa kutoa sababu nyingi sana hasa pale ninapohitaji kuonana naye. NB hatukai pamoja ila ni karibu, kwa maana umbali wake ni mwendo wa masaa machache tu.
2. Kwa mda wote huu hajawahi kuniambia ananipenda. Nikimhoji, anasema mtu anaweza kukuambia hizo romantic words na bado asikupende. HIVYO yeye husema ananipenda hata kama haniambii.
3.Mawasiliano. hana ile akutafute asubuhi mchana na jioni. Bali mnaweza kuongea hata saa 11 jioni, hiyo ndiyo imetoka, usiku hataki mzungumze tena au kutakiana usiku kwema. Kwake mkiongea mara moja tu kwa siku inatosha. Kiufupi hapendi sana mawasiliano ya KILA mara.
4. Hayuko romantic sana. Neno pekee analolijua ni "mpenzi" hajawahi niita kwa neno nje zaidi ya hilo. Hata tu mpenzi wangu, mchumba wangu, or even mume wangu sijawahi sikia masikioni mwangu. Simply hana kabisa yale mambo ya kihindi
5. Haonyeshi wivu wowote wala hofu au wasiwasi juu yangu, siyo mdadisi juu ya maisha yangu kabisa
6. Usipomtafta, lazima atakutafta sana tu ila shida zake ndio hizo hapo 1-5
. UBORA WAKE. 1. Mchapa kazi, mcheshi, charming and disciplined na mkarimu
2.Anavaa vizuri/Anajua kujistiri, hababaiki, etc.
3. Siyo mlalamishi au mtu wa kupenda kesi kesi
4. Ni mwepesi sana kusamehe na kupotezea vitu, hata kama utamkosea
5. Ni mchakarikaji siyo mtu wa kubweteka.
She is 22 hasomi, yupo home since 2018 after completing form 4, I am 27, nampenda sana, ila yeye sielewi kama ananipenda kweli kulingana na sababu hapo juu.
Wazoefu naombeni mnisaidie niendelee naye au nishike hamsini zangu . Kulingana na hayo niloyaeleza hapo juu. Wakuu nipo njia panda karibuni kwa mchango wenu wadau situation kama hiyo hapo juu innakua na maana gani?
Acha kumlisha matango pori mkulungwa, huyo demu wake hataki kutafutwa usiku na hapendi ata kutakiana usiku mwema, acheni unafiki.watu watarukaruka hapa na coments zao lkn ukweli halisi ndo huo
wife material wengi hawanaga mbwembwe
aanze kukutafta asbh, mchan na jioni ili iweje?
kutwa akuimbie nakupenda ili iweje??
upendo unakaa moyoni na siyo mdomoni..
hakufatilii uko wapi , unafanya nini kwa kuwa anakuamini.
we kama umempenda muoe, hayo mengine yatajiset yenyewe
Mi huwa napenda thread zako bro.Ha ha ha.....
Wee jamaa huwa napenda Sana kusoma comments zako