Mpenzi wangu hapati raha ya mapenzi kabisa, naombeni msaada wa contact za geno au wataalam wa matati

Mpenzi wangu hapati raha ya mapenzi kabisa, naombeni msaada wa contact za geno au wataalam wa matati

Yusufu

Member
Joined
Dec 8, 2010
Posts
13
Reaction score
0
Wajameni ninae mpenzi wangu wa kike na nipo nae kwa takribani miaka miwili sasa na nategemea kufunga nae ndoa mwakani ila siku zote amekuwa akilalamika kwamba hapati raha ya mapenzi kabisa.

Na nimejaribu kweli kumchunguza na nimegundua kweli kwamba hisia zake zipo mbali sana za mapenzi na hata tuki do namuona kabisa kwamba ananiridhisha tu ila hapati raha yoyote.

Nampenda sana ila ninataka nimsaidie kupata ufumbuzi wa hili tatizo kwamba wataalum wa haya matatizo wanapatikana wapi na yeyote mwenye contact zao naomba msaada aokoe jahazi wadau.

Asanteni sana.
 
mwanamke akisex na mtu ambae hampendi/kumfeel no orgasm at allmwambie awe anavuta picha ya switheart wake aasume ndo wewekwanza ungejua unavomkera during process ? yaani mwanamke kulala na mtu humpendi ni mateso acha kabisa
 
We Smile taratibu bana
We unaona jamaa hapo anasema ana mpango wa kumuoa kabisa na wewe unamkatisha tamaa bana
Wacha zako hizo
 
We Smile taratibu banaWe unaona jamaa hapo anasema ana mpango wa kumuoa kabisa na wewe unamkatisha tamaa banaWacha zako hizo
si ni kweli yaani angejua anavomkera ? wewe acha tu kulala na limtu hulitaki bana full mateso
 
mwanamke akisex na mtu ambae hampendi/kumfeel no orgasm at allmwambie awe anavuta picha ya switheart wake aasume ndo wewe

....lol....! aisee huu ushauri utavunja ndoa ya mwenzako bana...hahahah!

kaka Yussuf, tatizo ni lenu nyote wawili....gyno hahitajiki hapo.
Jitahidi utundu wa kumshirikisha mchumba'ko ajifungue moyo wake kwako anavyotaka umridhishe,
kwani ni yeye pekee anayeujua mwili wake na mwili wako mnavyoweza 'connect the dots...'

pole kaka.
 
Jaribu kumuanda vizuri, mulize nini anafurahia kwenye mapenzi zaidi ukiuliza sana humu watakupa number zao utajuta manake ma doctor humu JF wakumwaga Mashallah.
 
....lol....! aisee huu ushauri utavunja ndoa ya mwenzako bana...hahahah!kaka Yussuf, tatizo ni lenu nyote wawili....gyno hahitajiki hapo.Jitahidi utundu wa kumshirikisha mchumba'ko ajifungue moyo wake kwako anavyotaka umridhishe,kwani ni yeye pekee anayeujua mwili wake na mwili wako mnavyoweza 'connect the dots...'pole kaka.
si ukweli au?
 

....lol....! aisee huu ushauri utavunja ndoa ya mwenzako bana...hahahah!

kaka Yussuf, tatizo ni lenu nyote wawili....gyno hahitajiki hapo.
Jitahidi utundu wa kumshirikisha mchumba'ko ajifungue moyo wake kwako anavyotaka umridhishe,
kwani ni yeye pekee anayeujua mwili wake na mwili wako mnavyoweza 'connect the dots...'

pole kaka.

Mkuu afadhali umetoa ushauri wa maana
Huyu Smile anataka kabisa kuvunja mahusiano ya watu
Ni wao wawili kuconnect hisia zao wakati wanafanya mambo yao maana inaelekea wanafanya hayo mambo wakiwa na hisia za mbali kitu kinachowafanya washindwe kuona raha au mdada wa watu ashindwe kuona raha ya hiyo kitu
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
si ni kweli yaani angejua anavomkera ? wewe acha tu kulala na limtu hulitaki bana full mateso


taratibu bana
Duh ukali hivyo utamuondoa dada wa watu au kaka wa watu atakata tamaa ataona hapendwi bure wakati hapo kwake ndo amefika aise
 
Jaribu kumuanda vizuri, mulize nini anafurahia kwenye mapenzi zaidi ukiuliza sana humu watakupa number zao utajuta manake ma doctor humu JF wakumwaga Mashallah.
huyo mdada hamfeel so kumuandaa nayo ni ngumu maana atamshikashika vipi? si atapigwa ngumi bure jamani?
 
taratibu bana Duh ukali hivyo utamuondoa dada wa watu au kaka wa watu atakata tamaa ataona hapendwi bure wakati hapo kwake ndo amefika aise
amefika sipo hapo abake tuuu real gemu never hapo
 
amefika sipo hapo abake tuuu real gemu never hapo
Unajua mapenzi hayapandi au hayakui kama maji yanavyochemka wakati umeweka birika kwenye umeme.

Ni kitu cha taratibu sana na with time naamini ipo siku huyo dada atampenda jamaa. Naamini wajaribu kukaa na kuangalia tofauti zao na nini wafanye na naamini maongezi baina yao ni mazuri sana kujaribu kutengeneza mazingira ya wao kuwa kweli wanapendana.
 
dahhhh,....smile bana hebu acha kumkatisha tamaa mwenzio bana...
mwenzako anampenda huyo binti, wewe unaongelea msiba...duhh!

ati kaka Yussuf? ati shemeji wamuonaje? ...naye akupenda au wamburuza tu weye?
haifai kujiingiza kwenye ndoa ya mashaka kaka...mtaja 'umizana' huko mbele ya safari!
 
si ni kweli yaani angejua anavomkera ? wewe acha tu kulala na limtu hulitaki bana full mateso

Inawezekana huyu mtu unamjua,
Inawezekana na Bint anayetakakumuoa unamjua,
Inawezekana una uhakika na unachokiandika.
 
mwanamke akisex na mtu ambae hampendi/kumfeel no orgasm at all mwambie awe anavuta picha ya switheart wake aasume ndo wewekwanza ungejua unavomkera during process ? yaani mwanamke kulala na mtu humpendi ni mateso acha kabisa
Kwenye red unampoteza jamaa.
 
Kijana ebu jaribu kutazama/kufikilia nje ya box....yale ambayo wewe unaona kinyaa kwenye mapenzi unaweza ukakuta ndio yeye anayapenda.....Jaribu kumwandaa kisaikolojia...wanawake wote regardless age na kipato uwa wanaishi kwa hisia.....tafuta muda mwingi wa kumwandaa usikimbilie tu....kale kamchezo.
Mwanaume hasifiwi kula tu.......

SMILE....
HII SI KWELI....(mwanamke akisex na mtu ambae hampendi/kumfeel no orgasm at all....)
Inategemeana na mwaume unayekutana naye....
Nina rafiki yangu mmoja alizaa na Malaya mmoja(anayejiuza kabisa).......lakini alikolea mavitu ya mshikaji mpaka akawa hataki pesa tena.........unajua kwanini?
 
Inawezekana huyu mtu unamjua,Inawezekana na Bint anayetakakumuoa unamjua,Inawezekana una uhakika na unachokiandika.
hapa tunatoa ushauri mkuu,na siwezi kumpa mtu ushauri ambao sina uhakika nao hayo ni maoni yangu.na wewe mpe ya kwako ndo maana ya jamii forums sio kuanza kunidandia kifuani babu wee
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom