Mpenzi wangu hasikii harufu ya kitu chochote,msaada tafadhali.

Babu mchumi

Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
62
Reaction score
11
Habarini The Great Thinkers!
Jaman nina mpenz wangu hasikii harufu ya kitu chochote,anadai hawajawai sikia harufu,tiba yake ni nini hii kitu,,msaada tafadhali maana anadai hiyo hali hapendezwi nayo!!
 
nilishawahi kuwa na rafiki wa namna hii,nadhani ni ulemavu kama ulivyo wa masikio au macho.
 
Duuh...kwa hiyo mçhizi hata chooni anaweza kupiga mbonji??
 
Habarini The Great Thinkers!
Jaman nina mpenz wangu hasikii harufu ya kitu chochote,anadai hawajawai sikia harufu,tiba yake ni nini hii kitu,,msaada tafadhali maana anadai hiyo hali hapendezwi nayo!!
Masikio yake yatakuwa na hitilafu mnunulie Earphone!
 
Ngoma za pua zitakua zimetoboa dats y hasikii harufu yafaa sasa akamwone daktari bingwa wa magonjwa ya pua
 
Ngoja nisubiri wataalamu maana dada yangu pia ana tatizo hilo
 
Habarini The Great Thinkers!
Jaman nina mpenz wangu hasikii harufu ya kitu chochote,anadai hawajawai sikia harufu,tiba yake ni nini hii kitu,,msaada tafadhali maana anadai hiyo hali hapendezwi nayo!!
Ana Anosmia, ni dalili inayoashiria kuna matatizo kwenye Neva au ugonjwa wa Parkinsonism unamkaribia....aende hospitali akapimwe haraka sana
 
Mmmh embu tuwekane sawa HARUFU HAISIKIWI, HARUFU INANUSWA

KAZI YA PUA NI KUNUSA SIO KUSIKIA, KUSIKIA NI KAZI YA SIKIO
 
Habarini The Great Thinkers!
Jaman nina mpenz wangu hasikii harufu ya kitu chochote,anadai hawajawai sikia harufu,tiba yake ni nini hii kitu,,msaada tafadhali maana anadai hiyo hali hapendezwi nayo!!
Amewahi kuwaona maspecialists wa ENT?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…