Mangole Valles Michael
JF-Expert Member
- May 30, 2021
- 338
- 683
Heshima zenu wadau wa jukwaa hili.
Juzi niliandika thread iliyo kwenda na title ya uliwezaje kuachana na mpenzi wako uliye mpenda baada ya kutoa kisa Changu na kusikiliza maoni ya wadau kupitia comment.
Shida yangu ni moja guys, Kuna mishe nataka kwenda kupiga mkoa tofauti na niliopo na kwa mawazo yangu nimepanga Kama Mambo yatakwenda sawa nitaishi huko milele kwakua hapa ninapo ishi ni mkoa wa nyumbani(nilipo zaliwa)na na umenichosha kuishi.
Sasa huyu dem wangu imekua kwake ni ngumu kuniruhusu mm kwenda kutafuta changamoto kwingine, mda wote ananiangaliaa anatoa machozi nikimuuliza sababu ya kulia ana sema wewe unaniacha unaenda mbali kwakwel namuonea huruma nahisi kulia kwake nikama anainajisi safari yangu ya utafutaji.
Pengine kinacho muumiza ni vile tulivyo zoeana tumeishi pamoja lakin biashara niliyo kua naifanya hapa mkoani kwa Sasa ni hasara tupu + kuibiwa ibiwa kwakwel I have to move on kwenye hili, na solution ni kuhama mazingira.
huyu demu nimemuelewesha kwa upana zaid kwanini nataka nihame mkoa kanielewa kishingo upande maana alinambia eti nibaki mkoani nianze kuuza nafaka, (udaga,mahindi,maharagwe) kitu ambacho sijawah kuplan kukifanya.
Kuna wakati nawaza au anachukulia maisha ni simple kwakua nyumbani hua nq hela ya mtaji hata milion 2 na anaziona, au kwakua anapata mahitaji yote kuhimu kwa wakati na hajawahi kulala njaa, na Kama nilivyo sema kwenye thread iliyo pita huyu dem hajui hesabu za fedha yan ukimwambia 10000- 7250 utarudisha chench sh ngap kwa mteja hajui, na HAJAWAHI kufanya biashara yoyote.
Nilicho panga ni hiki.
- Nimeahirisha safari yangu na pesa yangu yote naiweka bank. Kisha namwambia mama, Nimeahirisha kwenda kutafuta kwakua nakupenda na staki nikuumize lakin stotoka popote kwenda kutafuta hela kwakua tumechagua mapenzi kuliko chochote basi acha tufe na njaa ndani ila tuwe wote. Na kwa hili nitakua serious maana naona ananipotezea mda wa kupata MUNGU alicho nipangia kukipata huko niliko panga kwenda.
Mingine guys huyu dem nilimpa nafasi nikamuuliza ikitokea nimeenda dodoma kuishi upo Tayari kuja tuishi wote akakataa, yaaan hataki kutoka mbali na ndugu zake(mama na dada ) baadae akanambia inategemeana Kama kuja kuishi Tena Kama mtu nmpenzi wake siwezi labda mke na mume namie nikakubali ila aniche niende kwanza nikapambane baadae nitamuita.
Lakin kingine akiwa nje na marafiki naona anaongea na kucheka vizuri Sana Kama Hana mawazo, shida akiingia ndani maamaa, anakua Kama mgonjwa mda wote Hana furaha mpaka sio poa.
Wadau USHAURI wenu nifanyeje kwenye hili[emoji19][emoji19].
Juzi niliandika thread iliyo kwenda na title ya uliwezaje kuachana na mpenzi wako uliye mpenda baada ya kutoa kisa Changu na kusikiliza maoni ya wadau kupitia comment.
Shida yangu ni moja guys, Kuna mishe nataka kwenda kupiga mkoa tofauti na niliopo na kwa mawazo yangu nimepanga Kama Mambo yatakwenda sawa nitaishi huko milele kwakua hapa ninapo ishi ni mkoa wa nyumbani(nilipo zaliwa)na na umenichosha kuishi.
Sasa huyu dem wangu imekua kwake ni ngumu kuniruhusu mm kwenda kutafuta changamoto kwingine, mda wote ananiangaliaa anatoa machozi nikimuuliza sababu ya kulia ana sema wewe unaniacha unaenda mbali kwakwel namuonea huruma nahisi kulia kwake nikama anainajisi safari yangu ya utafutaji.
Pengine kinacho muumiza ni vile tulivyo zoeana tumeishi pamoja lakin biashara niliyo kua naifanya hapa mkoani kwa Sasa ni hasara tupu + kuibiwa ibiwa kwakwel I have to move on kwenye hili, na solution ni kuhama mazingira.
huyu demu nimemuelewesha kwa upana zaid kwanini nataka nihame mkoa kanielewa kishingo upande maana alinambia eti nibaki mkoani nianze kuuza nafaka, (udaga,mahindi,maharagwe) kitu ambacho sijawah kuplan kukifanya.
Kuna wakati nawaza au anachukulia maisha ni simple kwakua nyumbani hua nq hela ya mtaji hata milion 2 na anaziona, au kwakua anapata mahitaji yote kuhimu kwa wakati na hajawahi kulala njaa, na Kama nilivyo sema kwenye thread iliyo pita huyu dem hajui hesabu za fedha yan ukimwambia 10000- 7250 utarudisha chench sh ngap kwa mteja hajui, na HAJAWAHI kufanya biashara yoyote.
Nilicho panga ni hiki.
- Nimeahirisha safari yangu na pesa yangu yote naiweka bank. Kisha namwambia mama, Nimeahirisha kwenda kutafuta kwakua nakupenda na staki nikuumize lakin stotoka popote kwenda kutafuta hela kwakua tumechagua mapenzi kuliko chochote basi acha tufe na njaa ndani ila tuwe wote. Na kwa hili nitakua serious maana naona ananipotezea mda wa kupata MUNGU alicho nipangia kukipata huko niliko panga kwenda.
Mingine guys huyu dem nilimpa nafasi nikamuuliza ikitokea nimeenda dodoma kuishi upo Tayari kuja tuishi wote akakataa, yaaan hataki kutoka mbali na ndugu zake(mama na dada ) baadae akanambia inategemeana Kama kuja kuishi Tena Kama mtu nmpenzi wake siwezi labda mke na mume namie nikakubali ila aniche niende kwanza nikapambane baadae nitamuita.
Lakin kingine akiwa nje na marafiki naona anaongea na kucheka vizuri Sana Kama Hana mawazo, shida akiingia ndani maamaa, anakua Kama mgonjwa mda wote Hana furaha mpaka sio poa.
Wadau USHAURI wenu nifanyeje kwenye hili[emoji19][emoji19].