Mpenzi wangu kanipa ultimatum kuwa nisipomuoa mwaka huu, atachukua maamuzi magumu

Mahusiano yenye future unatakiwa kukaa muda gani?
At least baada ya mwaka unatakiwa ume umemchumbia umvishe pete ya uchumba then mwaka m'moja na nusu unaofuata unaweza kuanza process za kufunga ndoa takatifu....
 
We unigeuze kila staili muda wote Mara mbuzi kagoma,chuma mchicha na nyingine nyingiiii. Maamuzi magumu yanakuhusu wewe
 
Kachoka kutumiwa na subira imemshinda bora aulize ajue moja
 
Tatizo ni wewe alafu unatuuliza sisi tena
 
Namwingine anaoa akihofia kisu demu wake watu watamuwahi hivyo anaona bora afunge naye pingu za maisha
 
Ameona engene yako ya diesel inachelewa kuchanganya.

Akaona akuchachafye kdogo by the way unatakiwa kuchanganya umpige mtu kati mtoto huyo😊😊😊😊😊😊
 
Miaka 3?? Sio mingi sana...lkn kama unadhan ana sifa za kuwa mke na una mpango wa kuoa soon n bora ukakaa nae chi ukampa io mipango ili awe na dira kwenye hayo mahusiano...na kama huna mapango nae mchane mapema
 
Volunteering inachosha mkuu

We mtu amejitolea miaka mitatu [emoji1787][emoji1787]
 
Miaka 3?? Sio mingi sana...lkn kama unadhan ana sifa za kuwa mke na una mpango wa kuoa soon n bora ukakaa nae chi ukampa io mipango ili awe na dira kwenye hayo mahusiano...na kama huna mapango nae mchane mapema
Nimekupata mkuu
 
Hali yangu kama yako mkuu mimi nimezaa nae mtoto na nimepewa deadline mwakani nisipofanikisha anachukua maamuzi magumu, sababu ya kutomuoa mpaka sasa ni kukosa kipato Cha uhakika sasa nikianza kulipa hizo mahali nadhani nitayumba kabisa na sina kazi ya uhakika mpaka sasa japo maisha yanaenda, japo nilijaribu mwanzoni ila walizingua upande wao
 
Mpumbavu wewe

Mimi ni misogany lakini na uhuni wangu siwezi kaa na mtoto wa mtu kuanzia miezi mitatu mmoja unatosha siwezi potezea mtu muda kama si na nia ya kuoa


Fala sana we jamaa unagongwa na wachawi

Dada una hasira sana, kwani unateseka?
 
Wewe angalia mwenyewe ndoa si kama unaenda sokoni kununua nyanya, ndoa ni taasisi ambayo inajitegemea.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Dada una hasira sana, kwani unateseka?
Vipi mkuu we ni mtoa mada ?

Unakijua kichwa changu mkuu naona unataka kununua ugomvi wa hela yote mi nimevurugwa eti [emoji28] sioni ajabu kupoteza mda wangu kwa ajili ya mtu mmoja
 
Brooo angalia maisha yako wazuri wenye heshima na watamu kuliko yeyewapo wengi sana kama mishe zako hazijasetle tulia Tu maana ukiowa bila kutarajia utapata magumu kuliko Ayo anayotaka kuchukua
 
Vipi mkuu we ni mtoa mada ?

Unakijua kichwa changu mkuu naona unataka kununua ugomvi wa hela yote mi nimevurugwa eti [emoji28] sioni ajabu kupoteza mda wangu kwa ajili ya mtu mmoja

Mtu mmoja au ID moja! Kwani itabadilisha nini, shaabhaaash!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…