Mpenzi wangu kaweka status WhatsApp ya kuachana na mtu ila si mimi

Mpenzi wangu kaweka status WhatsApp ya kuachana na mtu ila si mimi

Habari wakuu.

Nimeamka leo nakuta mpenzi wangu kaweka whatsapp wimbo wa Mboso uitwao over akisindikiza na maneno na dhihaka za emoj za kuonesha anamwambia mtu ambae sio mimi.

Kuna haja ya kuhoji?
"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Back
Top Bottom