MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Tena Bora hajaku mute umeona kabisa mwingine anaku mute huoni kabisa ,kwahyo we kama unampenda tulia husikurupukeHabari wakuu.
Nimeamka leo nakuta mpenzi wangu kaweka whatsapp wimbo wa Mboso uitwao over akisindikiza na maneno na dhihaka za emoj za kuonesha anamwambia mtu ambae sio mimi.
Kuna haja ya kuhoji?
Na wewe mpaka unapigiwa video call ukapokea ukachekwa,ulikua umelewa au?Kheri wewe mimi Ali nipigia video call akiwa na jamaa mpya wakaanza kunicheka
Una soma kidato cha ngapi?Habari wakuu,
Nimeamka leo nakuta mpenzi wangu kaweka WhatsApp wimbo wa Mboso uitwao Over akisindikiza na maneno na dhihaka za emoj za kuonesha anamwambia mtu ambae sio mimi.
Kuna haja ya kuhoji?
Yeah.....Sawa mkuu namie nimepiga kimya