Mpenzi wangu kila siku aniuliza eti ntampa nini?

mishahara yenyewe ya Kikwete hii si unaweza ukajikuta unai-Dowans serikali
 
mwambie ntakupa UPUPU
akin'gaka mwambie ndo useme sasa unataka nikupe nini uridhke!!!!!1
 
Michelle uko juu unatoa point za uhakika I appreciate
 

Namshukuru Mungu sina tena nafasi ya kuifanyia kazi hii list.... Sijui kama kuna mwanamume hata mmoja duniani anayweza ku-attempt na asiishie kuweka mpira kwapani..

Hii list imekaa kama suicide bomb!

Kila la heri wajukuu zangu...tutaonana na wale watakaobaki salama!

Babu DC!
 

Mhh Mbona haya nimaisha ya kuigiza kama kwenye Bongo/Nigeria movies????????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…