ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,652
Hii skendo ilikuwa ni kama 'jumba bovu' mwanaume mkware aliamua kuniangushia mimi
baada ya kuona hakuwa na majibu ya kujitosheleza kwa GF wake baada ya GF wake
kugundua kuwa paketi moja ya condom imetumika ndani ya siku mbili ambazo huyo GF
alikuwa safarini.
Kama kawaida ya wadada, akiwa anafanya usafi ndani ya nyumba akaona kuna mipira 3
kwenye 'dust bin' ikiwa na kile 'kimiminika'. Jinsi GF alivyo makini akaenda kuangalia kwenye
droo ya kitanda kweli akakuta packet moja iko 'empty'. Utata ukaanzia hapo, juu ya nani
katumia hiyo mipira. Ukweli ni kwamba jamaa alileta mwanamke mwingine wakati GF wake
yuko safarini na kuivunja amri ya sita. Sasa lilijisahau kuweka mambo sawa ili kufuta ushahidi.
Sijui niseme jamaa alikuwa na 'akili' au ni ujinga, wazo la haraka lililomjia ni kunisingizia eti
mimi ndyoko ndo nilienda geto kwake kuibanjua amri ya sita na mdada mwingine.
Halfu likaniandikia nimsitiri kutokana na skendo yake hiyo. Na kweli baada tu ya meseji yake kuingia
mara Shemeji huyooooooo, simu inaita. Nilichoamua ni kutoipokea hiyo simu ya shemeji yangu.
Ila nashukuru kwa sasa wameoana na wanaishi kwa amani. Baada ya miaka nane toka skendo hii kutokea
juzi nikakutana nao. Huyo shemeji alivyo na kiherehere, si akaniuliza kuhusu hii maneno......! Nilichomjibu
ni kwamba asahau tu 'UJANA NDO ULIKUWA UNATUSUMBUA".
My take: Jamani vidume tuachanane na mambo ya kusingiziana mambo mabaya. Ukiamua kujitoa muhanga basi uwe tayari kukabiliana na matokeo yake. Hivi kama mimi ningekuwa nimeoa na jinsi ladies walivyo na uchungu wajuapo kuwa mashostito wao wanaibiwa MABF wao, ndoa yangu ingekuwa salama kweli hapo? Nomaaaaa!
baada ya kuona hakuwa na majibu ya kujitosheleza kwa GF wake baada ya GF wake
kugundua kuwa paketi moja ya condom imetumika ndani ya siku mbili ambazo huyo GF
alikuwa safarini.
Kama kawaida ya wadada, akiwa anafanya usafi ndani ya nyumba akaona kuna mipira 3
kwenye 'dust bin' ikiwa na kile 'kimiminika'. Jinsi GF alivyo makini akaenda kuangalia kwenye
droo ya kitanda kweli akakuta packet moja iko 'empty'. Utata ukaanzia hapo, juu ya nani
katumia hiyo mipira. Ukweli ni kwamba jamaa alileta mwanamke mwingine wakati GF wake
yuko safarini na kuivunja amri ya sita. Sasa lilijisahau kuweka mambo sawa ili kufuta ushahidi.
Sijui niseme jamaa alikuwa na 'akili' au ni ujinga, wazo la haraka lililomjia ni kunisingizia eti
mimi ndyoko ndo nilienda geto kwake kuibanjua amri ya sita na mdada mwingine.
Halfu likaniandikia nimsitiri kutokana na skendo yake hiyo. Na kweli baada tu ya meseji yake kuingia
mara Shemeji huyooooooo, simu inaita. Nilichoamua ni kutoipokea hiyo simu ya shemeji yangu.
Ila nashukuru kwa sasa wameoana na wanaishi kwa amani. Baada ya miaka nane toka skendo hii kutokea
juzi nikakutana nao. Huyo shemeji alivyo na kiherehere, si akaniuliza kuhusu hii maneno......! Nilichomjibu
ni kwamba asahau tu 'UJANA NDO ULIKUWA UNATUSUMBUA".
My take: Jamani vidume tuachanane na mambo ya kusingiziana mambo mabaya. Ukiamua kujitoa muhanga basi uwe tayari kukabiliana na matokeo yake. Hivi kama mimi ningekuwa nimeoa na jinsi ladies walivyo na uchungu wajuapo kuwa mashostito wao wanaibiwa MABF wao, ndoa yangu ingekuwa salama kweli hapo? Nomaaaaa!