Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
- Thread starter
-
- #21
π πNaomba namba yake nikubembelezee mdogo wangu
AwapiAmeshajua wewe ni fala, hivyo anakupanga ujae akupige vizuri!
ππAvatar yako imeniacha hoi kwa kicheko
Anapalilia ndoa huyo,mweke ndani Hadi nguo atasachi akisaka za vicoba.
Don't trust this people
Nakataa kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
Mmmh! Kumbuka huu ni mwezi January, yaani kwa jina jingine ni mwezi dume, bado utakataa?
Namuomba tuishi nae woteAnasema anataka hela aliyotafuta kwa mikono yake π
Kuwa Mimi sihitaji auπNamuomba tuishi nae wote
Duh! Kumbe marobot ya Elon musk yameisha anza kuuzwa na husemi??Anasema anataka hela aliyotafuta kwa mikono yake π
Mmmh! Kumbuka huu ni mwezi January, yaani kwa jina jingine ni mwezi dume, bado utakataa?
ππDuh! Kumbe marobot ya Elon musk yameisha anza kuuzwa na husemi??
Shukuru MunguAnasema anataka hela aliyotafuta kwa mikono yake [emoji28]
Anasema anataka hela aliyotafuta kwa mikono yake [emoji28]