kalooo son of Kambarage
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 275
- 181
Kila mda Ni Kama 2025 na Mpenzi wa kweli,kila Mda awe na Mimi,Na kila sehemu yapo Mengi ila nianakotaka niende ananilinda nisiibiwe na vichomi wa mwiba wangu.Je nahisi kuchapiwa?Na Mda Sasa anataka turudiane.
Nampa hela 2000 na usete Five anakataa.
Mimi Ni Rai yangu.Kwa Kweli Muweza Mungu Tu maana nilichofanyiwa kwa Mtu wa kwanza Siyo kizuri kabisa na washikaji,wengine Bora tu Kuswali wengine Bora tu Kusali,Ila Mwaminifu Ni mtu Bora haijalishi Yuko Wapi,Nilichapiwa vibaya nikakonda nikabaki Kama moja.
Namimi kumuacha Mtu mpaka Mungu aseme,nililelewa hivo,kipigo changu,Ila Mda ulipofika nikamuacha na kesho Yake tarehe 25-12-19 agombale nikajitwika Zilongwa Mbali zitendwa Mbali,Hiki Sasa mbele za Mungu zilinipa kipigo kitakatifu,napigwa nimo tu napigwa nimo tu,Basi nikapewa wehu jina na Chizi Hata wanawake waliotaka wanisaidie ili wamkomoe nao wakaniona Chizi tu kichwa hakisomi,Lakini Nilikuwa namlilia Muenzi wa Enzi.
Mavoko kasema Kuhusu haya Maneno,Siwezi Kwa kweli Sauti ya Mungu Ni Ukweli tosha,Seema,Nimesema.
Biblia Ni takatifu hayupo wa kuipindisha,Korani tukufu inajisimamia hayupo wa Kuifuta duniani.
Humo Ndimo yamo majibu ya Walimwengu
Wapili ninaye naugulia wa kwanza alisepa.
Anataka turudiane ila nahisi kuchapiwa.
Nampa hela 2000 na usete Five anakataa.
Mimi Ni Rai yangu.Kwa Kweli Muweza Mungu Tu maana nilichofanyiwa kwa Mtu wa kwanza Siyo kizuri kabisa na washikaji,wengine Bora tu Kuswali wengine Bora tu Kusali,Ila Mwaminifu Ni mtu Bora haijalishi Yuko Wapi,Nilichapiwa vibaya nikakonda nikabaki Kama moja.
Namimi kumuacha Mtu mpaka Mungu aseme,nililelewa hivo,kipigo changu,Ila Mda ulipofika nikamuacha na kesho Yake tarehe 25-12-19 agombale nikajitwika Zilongwa Mbali zitendwa Mbali,Hiki Sasa mbele za Mungu zilinipa kipigo kitakatifu,napigwa nimo tu napigwa nimo tu,Basi nikapewa wehu jina na Chizi Hata wanawake waliotaka wanisaidie ili wamkomoe nao wakaniona Chizi tu kichwa hakisomi,Lakini Nilikuwa namlilia Muenzi wa Enzi.
Mavoko kasema Kuhusu haya Maneno,Siwezi Kwa kweli Sauti ya Mungu Ni Ukweli tosha,Seema,Nimesema.
Biblia Ni takatifu hayupo wa kuipindisha,Korani tukufu inajisimamia hayupo wa Kuifuta duniani.
Humo Ndimo yamo majibu ya Walimwengu
Wapili ninaye naugulia wa kwanza alisepa.
Anataka turudiane ila nahisi kuchapiwa.