mpenzi wangu yumo humu(uhuru sina)

Km hajui ID yako na wewe hujui ID yake tatizo liko wapi?
 
he he he, kazi unayo.
Unamuonjesha changu ub....
Una l.a.a.n.a wewe..
 
km unajua maan y ID sas unahofu nn!sasa km we ulishawah kumwambia ndo itakucost otherwise ufungue ingne na ucrudie tn.
 

vunja ukimya zungumza nae mambo yanayowahusuunafikiri suala ni kumueleza kila mtu siri zako za ndani?mwandani wako ndo wa kumleza siri zako kama hakuridhishi mwambie mtafute namna ya kuhuisha ndoa yenu,hapa sawa utapata ushauri ila ni vema na mwenzako akajua uliyonayo.tatizo wanandoa wengi wanaishi kama majirani na sio marafiki wakati wakiwa boyfriend na girlfriend kila kitu kilikuwa wazi why not now?
 
Very Good Mama

Hilo litamfanya awe huru sana
 
he he he, kazi unayo.
Unamuonjesha changu ub....
Una l.a.a.n.a wewe..

Mmm kongosho hizo sentensi zako zina maajabu sana.Hebu nieleze ulikuwa na maana gan?
 
binadam wabaya ila mimi cjamkataza kucheka na watu. Nilipize nini shem?
Lol. Usimkataze shem! tofauti kati yako wewe na yeye, wewe ni mrembo na unafatwa na katika wanaokufata wengine wako serious, lakini yeye anafata na inaweza ikawa hayuko serious kwenye kufata fata kwake. Ni human nature shem
 
Lol. Usimkataze shem! tofauti kati yako wewe na yeye, wewe ni mrembo na unafatwa na katika wanaokufata wengine wako serious, lakini yeye anafata na inaweza ikawa hayuko serious kwenye kufata fata kwake. Ni human nature shem

mbona tofauti ya kijinga shem! Lol, kwani si inawezekana nikawa uso wa mbuzi, kauzu kama dagaa lakini kwa pembeni naharibu? Huoni kama ananionea kunifanyia hivi wakati mi nampa uhuru sababu namuamini. Je hiyo ni namna nzuri ya kuishi na mpenz wako?
 
pole,ila nakupa hongera kwa kutuogezea memba humu jf.cha msingi mdadisi kama anaijua id yako.kama haijui we post tu,mavitus,
 
mbona tofauti ya kijinga shem! Lol, kwani si inawezekana nikawa uso wa mbuzi, kauzu kama dagaa lakini kwa pembeni naharibu? Huoni kama ananionea kunifanyia hivi wakati mi nampa uhuru sababu namuamini. Je hiyo ni namna nzuri ya kuishi na mpenz wako?
Dah! shem kwenye huu mjadala unamwaga mapwenti mpaka nitashindwa kumtetea braza? Lakini shem mijanadume mingine ukiichekea inakuliza. Dunia lenyewe si unaliona shagala bagala.
 
Dah! shem kwenye huu mjadala unamwaga mapwenti mpaka nitashindwa kumtetea braza? Lakini shem mijanadume mingine ukiichekea inakuliza. Dunia lenyewe si unaliona shagala bagala.

hehehehe! Shem leo nimekula pilau, nacheua mapwenti tu. Vp mjadala ubaki au tuuhamishe( unajua tutakapoupeleka shem). Lol.
 
hehehehe! Shem leo nimekula pilau, nacheua mapwenti tu. Vp mjadala ubaki au tuuhamishe( unajua tutakapoupeleka shem). Lol.
Mimi naona tuufunge tu shem! manake braza akiona hapa anaweza akaleta ubengazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…