RASHIDI OMARY
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 524
- 498
Wewe ni mwanaume suruali! Wenzako wana mademu hata watano na wote wanapata dozi stahiki changamka kakaWanawake/ Wanaume wenye wapenz zaidi ya mmoja mnawezaje kugawa muda wenu?,Mimi mmoja tu huwa naona kero.
Ahaaa kumbe bado unachangamsha macho!! Basi kila la kheri.Ndiomaana nipo hapa, najaribu kuchangamsha macho..[emoji39] [emoji39] [emoji39]
😂😂😂😂😂Nafsi imekataa😀
Amen😂😂😂😂😂
Itakuwa nafsi yako inanitakia mema. Amen.😜
Toa hiyo avatar kwaNza😀Hahahhaa
Ndio nakuja PM sasa kama ifuatavyo.
Me naweza ila huwa naihurumia tu papuchi yangu 😛😛😛😛
Ntafanya hivyo wangu..Toa hiyo avatar kwaNza😀
DuuuyuUsiihururumie hio ndo kazi yake maana haiwez kuosha vyombo wala kusugua sufuria!
Umenifungia PM bana meseji haiji. Nitumie ww ni reply.Toa hiyo avatar kwaNza😀
U hv made my day,ati haiwezi sugua sufuria?Usiihururumie hio ndo kazi yake maana haiwez kuosha vyombo wala kusugua sufuria!
Mtaje alie na zaid ya mmoj akupe mmojaIla maisha sio fair kabisa, mie sina hata mmoja alafu kuna watu wanao zaidi ya mmoja!!!![emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Cha muhimu ni pm no yako ya sasa mkuu. Tuanze kuyajenga.Umesema sipokei
Weka kushotoAmbao hatuna kabisa comment tunaweka wap?
Si unajua kusoma sio kujua kiingereza. Wewe pambana hivo hivoNdio umeamua kunikomoa na vingereza mkuu!!![emoji134][emoji134][emoji134]
Nitafsirie bwana mtoto wa mwanaume mwenzio. Kunyanyasana sio vizuri.Si unajua kusoma sio kujua kiingereza. Wewe pambana hivo hivo
DuuuuuWanamaliza na huyu, wanaosha tupu zao, wanaenda kwa mwingine wanafanya yao tena, wanamaliza na kuosha tupu zao ili walale[emoji52]...
Its so disgusting...