Ndesalee
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 1,092
- 520
Habarini wadau. Juzi nimepokea sms toka Vodacom kuwa nitakatwa tshs 300. Hii imekaaje jamani,kwani ni lazima tuwe tunatumia mpesa mara kwa mara ktk kufanya miamala yetu.?! SMS yenyewe hii hapa;
Utakatwa Tsh 300 kama gharama ya mwezi ya kutunza akaunti ya M-Pesa kutokana na kutotumia akaunti yako kwa siku 150 mfululizo. Asante.
Utakatwa Tsh 300 kama gharama ya mwezi ya kutunza akaunti ya M-Pesa kutokana na kutotumia akaunti yako kwa siku 150 mfululizo. Asante.