Mpesa na makato ya mwezi kwa utunzaji wa akaunti

Ndesalee

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2014
Posts
1,092
Reaction score
520
Habarini wadau. Juzi nimepokea sms toka Vodacom kuwa nitakatwa tshs 300. Hii imekaaje jamani,kwani ni lazima tuwe tunatumia mpesa mara kwa mara ktk kufanya miamala yetu.?! SMS yenyewe hii hapa;
Utakatwa Tsh 300 kama gharama ya mwezi ya kutunza akaunti ya M-Pesa kutokana na kutotumia akaunti yako kwa siku 150 mfululizo. Asante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…