Yuuup!Huyo Mkuu wa Mkoa analinda ugali wake..............ni vyema tukaanza kuangalia namna ya kuwapata wakuu wa mikoa kwa utaratibu wa kuwachagua badala ya Raisi kuwateua ili kuondokana na uwajibikaji feki kama huu wa Mpesya anayekazana kumfurahisha JK kulinda ugali wake mnono...........
Mkuu wa mkoa ni mpesya au mwakipesile?Huyo Mkuu wa Mkoa analinda ugali wake..............ni vyema tukaanza kuangalia namna ya kuwapata wakuu wa mikoa kwa utaratibu wa kuwachagua badala ya Raisi kuwateua ili kuondokana na uwajibikaji feki kama huu wa Mpesya anayekazana kumfurahisha JK kulinda ugali wake mnono...........