Loreen
Senior Member
- Dec 24, 2011
- 110
- 32
habari zenu wana jf,ni hivi nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tulipendana sana ila ikaja ikatokea amepunguza mapenzi kwangu,baadae nikagundua kuwa anatoka na msichana mwingine kwa siri na hakutaka nifahamu .cku moja nikamweleza akastuka na kukana kuwa atembei nae,baada ya kujua nimefahamu akakata mawasiliano kabisa na cm akawa hapokei.niliumia sn coz nampenda na siku taka kumpoteza kwa kipindi kile.nikakaa kama mwaka nikiogopa kuingia kwenye mausiano mengine,na nikijua labda atajirekebisha,baadae nikaamua kuwa na m2 mwingine ,ila amenifuata anataka turudiane tena nifanyaje?asanteni:lol: