habari zenu wana jf,ni hivi nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tulipendana sana ila ikaja ikatokea amepunguza mapenzi kwangu,baadae nikagundua kuwa anatoka na msichana mwingine kwa siri na hakutaka nifahamu .cku moja nikamweleza akastuka na kukana kuwa atembei nae,baada ya kujua nimefahamu akakata mawasiliano kabisa na cm akawa hapokei.niliumia sn coz nampenda na siku taka kumpoteza kwa kipindi kile.nikakaa kama mwaka nikiogopa kuingia kwenye mausiano mengine,na nikijua labda atajirekebisha,baadae nikaamua kuwa na m2 mwingine ,ila amenifuata anataka turudiane tena nifanyaje?asanteni:lol:
Anayo MasterCard?
miaka ishirini na nne.kwanini kongosho?
We si mgonjwa?...unafanya nini mtandaoni badala ya kushikamana na kitanda?...au kwa vile kuna Klorokwini na Asprini na Fellow-Tablet hapa?huku wataka na kule wataka yote utakosa
mbaya zaidi nilie nae anataka kuja hom
mbaya zaidi? khaaa ujue vijana maplayer ni wazuri sana kwenye malavidavi sijui ni kwa sababu ya kucheza gemu muda mwingi na viwanja tofauti nadhani amefanya comparison kwenye icho kipengeleend this relation now!
Unampotezea muda huyu kijana, weye bado hujakaa kikutulia
kama kijana kuja kwenu unaona ni bahati mbaya?!
Hapo umeongea baby.mbaya zaidi? khaaa ujue vijana maplayer ni wazuri sana kwenye malavidavi sijui ni kwa sababu ya kucheza gemu muda mwingi na viwanja tofauti nadhani amefanya comparison kwenye icho kipengele
mbaya zaidi nilie nae anataka kuja hom
mbaya zaidi? khaaa ujue vijana maplayer ni wazuri sana kwenye malavidavi sijui ni kwa sababu ya kucheza gemu muda mwingi na viwanja tofauti nadhani amefanya comparison kwenye icho kipengele
end this relation now!
Unampotezea muda huyu kijana, weye bado hujakaa kikutulia
kama kijana kuja kwenu unaona ni bahati mbaya?!
Huyo jamaa mpya mpaka anataka kuja nyumbani kwenu si ina maana anataka kujitambulisha ili process za msingi zianze...au hujaridhia awe mumeo?nataka ndoa!