mpigaji, bujibuji, popobawa, mchwechele, jimbi na wengine kaeni chonjo

mpigaji, bujibuji, popobawa, mchwechele, jimbi na wengine kaeni chonjo

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
wale viumbe wanao jiuza usiku wamegundua style mpya. baada ya wateja wao kuwakimbia mala kwa mala, sasa hivi wameamua kuwaajiri wamasai. kama unashindwa kulipa wamasai wanakushughulikia kwa kupigwa viboko. so wale wateja wa kule hakikisha unaenda na change kabisa la sivyo kesho yake watu watakushangaa ulivyo na ngeu mwili mzima. kuna jamaa wawili wameshughulikiwa juzi na jana. ni hayo tu washikaji. Mia
 
wale viumbe wanao jiuza usiku wamegundua style mpya. baada ya wateja wao kuwakimbia mala kwa mala, sasa hivi wameamua kuwaajiri wamasai. kama unashindwa kulipa wamasai wanakushughulikia kwa kupigwa viboko. so wale wateja wa kule hakikisha unaenda na change kabisa la sivyo kesho yake watu watakushangaa ulivyo na ngeu mwili mzima. kuna jamaa wawili wameshughulikiwa juzi na jana. ni hayo tu washikaji. Mia

Mzee wa jiti, umejuaje washikaji hao juu ni wateja? Pili kwa nini na wewe tusiamini ni mteja?
 
Mzee wa jiti, umejuaje washikaji hao juu ni wateja? Pili kwa nini na wewe tusiamini ni mteja?

jana nilipita pale maeneo niakuta jamaa anakong'otwa. kisa kachoma but kakosa hela ya kulipa. Mia
 
Yeah nimesikia kwenye uchambuzi wa magazeti ni madada poa wa temeke Sudan
 
jana nilipita pale maeneo niakuta jamaa anakong'otwa. kisa kachoma but kakosa hela ya kulipa. Mia

Mzee wa jiti, ukikutana na wanasheria wanaopenda ligi akasema ' umesema ulipita pale na kukuta mtu kachoma but kakosa hela ya kulipa' utalithibitishiaje jukwaa kwamba hukuwa wewe? Kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi heeeeeeeeeh!
 
wale viumbe wanao jiuza usiku wamegundua style mpya. baada ya wateja wao kuwakimbia mala kwa mala, sasa hivi wameamua kuwaajiri wamasai. kama unashindwa kulipa wamasai wanakushughulikia kwa kupigwa viboko. so wale wateja wa kule hakikisha unaenda na change kabisa la sivyo kesho yake watu watakushangaa ulivyo na ngeu mwili mzima. kuna jamaa wawili wameshughulikiwa juzi na jana. ni hayo tu washikaji. Mia
Umejuaje figga? Na wewe pia ni mteja wa WAJASIRIAMWILI.Mia
 
Mzee wa jiti, ukikutana na wanasheria wanaopenda ligi akasema ' umesema ulipita pale na kukuta mtu kachoma but kakosa hela ya kulipa' utalithibitishiaje jukwaa kwamba hukuwa wewe? Kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi heeeeeeeeeh!

Mkuu sio mimi. sema baada ya wale wamasai kuwauliza ndo wakasema kwa lafudhi ya kimasai "Huyu anajifanya mjanja, hataki kulipia huduma". nikashangaa. Mia
 
FN Kuna swali umeulizwa na Losambo hapo juu hujajibu ! Kwamba hao makamanda uliowataja umewajuaje kua ni wateja ?
 
wale viumbe wanao jiuza usiku wamegundua style mpya. baada ya wateja wao kuwakimbia mala kwa mala, sasa hivi wameamua kuwaajiri wamasai. kama unashindwa kulipa wamasai wanakushughulikia kwa kupigwa viboko. so wale wateja wa kule hakikisha unaenda na change kabisa la sivyo kesho yake watu watakushangaa ulivyo na ngeu mwili mzima. kuna jamaa wawili wameshughulikiwa juzi na jana. ni hayo tu washikaji. Mia

Habari ya uchunguzi katika gazeti la mwananchi la leo. Hii ipo katika madanguro yaliyopo TMK. Aidha kwa siku wana uwezo wa kuingiza hadi 50 elfu ila mara nyingi ni kati ya 20 na 30 elfu. Eneo tajwa hakuna kavukavu ni mwendo wa kifanyio. Nimeupenda ubunifu wao wa kulinda maslahi yao.

Naamini ni wakati mujarabu wa serikali kuiruhusu biashara hii kwa maendeleo ya WANAWAKE na nchi kwa ujumla kwani watalipa kodi itakayofanya mambo mengine ya maendeleo kwa nchi na wananchi wake.

Bazazi ni Bazazi tu.
 
Mkuu sio mimi. sema baada ya wale wamasai kuwauliza ndo wakasema kwa lafudhi ya kimasai "Huyu anajifanya mjanja, hataki kulipia huduma". nikashangaa. Mia

Kwa hii statment yako inaonyesha ni mteja mzuri wa bluetooth mkuu mia.
 
Back
Top Bottom