Habari ya uchunguzi katika gazeti la mwananchi la leo. Hii ipo katika madanguro yaliyopo TMK. Aidha kwa siku wana uwezo wa kuingiza hadi 50 elfu ila mara nyingi ni kati ya 20 na 30 elfu. Eneo tajwa hakuna kavukavu ni mwendo wa kifanyio. Nimeupenda ubunifu wao wa kulinda maslahi yao.
Naamini ni wakati mujarabu wa serikali kuiruhusu biashara hii kwa maendeleo ya WANAWAKE na nchi kwa ujumla kwani watalipa kodi itakayofanya mambo mengine ya maendeleo kwa nchi na wananchi wake.
Bazazi ni Bazazi tu.
Umejuaje figga? Na wewe pia ni mteja wa WAJASIRIAMWILI.Mia
Hata kama ndiyo Ohiooooo? Mia.
jamaani mimi sasa hivi nmeokoka. ila nawapa tahadhari wana jf wenzango ambao damu bado inachemka. Mia
Ni wajasiriamwili wa wapi wamechachamaa hivyo? Wa buguruni kimboka au corner bar?
hahahaaa...!!. Mkuu wale wa ohio ni noumer, usijaribu tena. hawakawii kukutelekeze kwenye ufukwe wa ocean road. wale wamefuga kucha ndefu za kufichia madawa ya kukufanya ulewe na kupoteza fahamu. anakugusa gusa mala akuguse masikioni, puani kumbe anakupakaza madawa. kesho asubuhi watakuokota pale beach ukiwa uchi. sijui utamwambiaje wife. Mia
FN Kuna swali umeulizwa na Losambo hapo juu hujajibu ! Kwamba hao makamanda uliowataja umewajuaje kua ni wateja ?
ni wale wa kinondoni na temeke. mimi nafikili ndo wale wale wanazunguka. akiona temeke kachokwa anaenda kino, akiona amechokwa anaenda buguruni. haiwezekani wawe na style moja ndani ya wiki mbili. mwaka jana haya hayakuwepo. Mia
Hahaha mleta mada atakuwa mteja mzuri sana wa hizi huduma
We kweli ni Bazazi,u muumini wa dini gani wewe?
Kwa hiyo hao unaowapa taarifa ulikuwa nao pamoja katika ishu za bluetooth sasa hv umeacha wao bado wanaendeleza?halafu nimekuuliza ni kiwanja kipi cha wajasiriamwili wanalindwa na wamasai?
Naskia bujibuji huwa anaomba na risiti kabisa baada ya kulipa,ni kweli rafiki angu?Habari ya uchunguzi katika gazeti la mwananchi la leo. Hii ipo katika madanguro yaliyopo TMK. Aidha kwa siku wana uwezo wa kuingiza hadi 50 elfu ila mara nyingi ni kati ya 20 na 30 elfu. Eneo tajwa hakuna kavukavu ni mwendo wa kifanyio. Nimeupenda ubunifu wao wa kulinda maslahi yao.
Naamini ni wakati mujarabu wa serikali kuiruhusu biashara hii kwa maendeleo ya WANAWAKE na nchi kwa ujumla kwani watalipa kodi itakayofanya mambo mengine ya maendeleo kwa nchi na wananchi wake.
Bazazi ni Bazazi tu.
Kijana unaonekana unauzoefu wa kufa mtu,duh
Naskia bujibuji huwa anaomba na risiti kabisa baada ya kulipa,ni kweli rafiki angu?
​ah haa haa haaa....................hiii kali
hahahaaa...!!. Mkuu wale wa ohio ni noumer, usijaribu tena. hawakawii kukutelekeze kwenye ufukwe wa ocean road. wale wamefuga kucha ndefu za kufichia madawa ya kukufanya ulewe na kupoteza fahamu. anakugusa gusa mala akuguse masikioni, puani kumbe anakupakaza madawa. kesho asubuhi watakuokota pale beach ukiwa uchi. sijui utamwambiaje wife. Mia
hahahaaa...!!. Mkuu wale wa ohio ni noumer, usijaribu tena. hawakawii kukutelekeze kwenye ufukwe wa ocean road. wale wamefuga kucha ndefu za kufichia madawa ya kukufanya ulewe na kupoteza fahamu. anakugusa gusa mala akuguse masikioni, puani kumbe anakupakaza madawa. kesho asubuhi watakuokota pale beach ukiwa uchi. sijui utamwambiaje wife. Mia