Namhurumia sana huyo jamaa yako Adam. Angeingia Wwe mapema kuanzia kipindi cha Sumer slam mpaka tulipo sasa kwenye payback sidhani kama angepumua mbele ya akina Roman Reingns, Cm Punk kabla ya kukutana na kiumbe cha ajabu sana na cha kipekee kama Daniel Bryan
ni kweli anachoongea jamaa,mieleka ni scripted si wwe si tna impact zote ni scripted,wanapopigana pale huwa ni kweli ila matokeo huwa yanapangwa kabla yani mshindi huwa keshapangwa tayari,mfano juzi kati ile mechi kati ya brock lesnar na taker yale matokeo ni vince ndo aliyeyapanga alimwambia taker kwamba inabidi alose kwa lesnar na ndo maana jamaa akalose lakini pia ingia blog ya bongo 5 utaiona script moja iliyovuja mtandaoni inayoonyesha events zitavyokuwa halafu uiangalie hiyo show kwenye youtube utaamini nikisemacho