Duh ndo najua leo,ngoja nijaribuUnafahamu kuwa majanga ya mpilipili yanapikwa na kuliwa kama mchicha
Ndiyo nini Mbilimbi Mkuu?? (siijui)
Unaweza kuchanganya na mchicha au yenywe weka na tui la nazi au kaanga na mafutaDuh ndo najua leo,ngoja nijaribu
Asante mkuu,,wacha hii ACHALI nikagoogle maana ni msamiati mwingine hivyo sijaelewaNi tunda fulani hutumika kwa matumizi ya achali
Ova
Asante sana MkuuGoogle mbilimbi
Mkuu
Nafikiri kizungu ni bilimbi plant kama sijakosea
Ova
Haha apa nimepanda mavitu mengi ,kuna embe za kisasa,ndimu chugwa ,ndizi n.kSafi ki home home
Naona tembele hpo
Ova
MZEE WA GAMBE PILIPILI LAZIMAKweli Nna mkono wa kupanda vitu
Naona pilipili yangu imekubali
Ni vzri kupanda vitu vidogodogo nyumbani
Syo kila kitu kwenda nunua sokoni
Ova
View attachment 1105376
Mie sinunui kitu labda mchele[emoji2][emoji2]Si unaona mchaichai
Wewe mpk ukanunue [emoji23][emoji23]
Mm najichumia tu home
Ova
View attachment 1105476
Uwe makini maana watu hawachelewi kuweka makohozi au hata mkojo piaSi unaona mchaichai
Wewe mpk ukanunue [emoji23][emoji23]
Mm najichumia tu home
Ova
View attachment 1105476
Asante[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ntazingatia hilo
Ova