Wafuasi wa Rais
Senior Member
- May 31, 2023
- 151
- 147
Kuna chama cha SIASA kinaitwa RAIS?Achana na itikadi za kisiasa. Baki kuwa mfuasi binafsi wa Rais
Unasema itikadi za chama siyo muhimu na wakati unapata uongozi kwa kupitia tiketi ya chama kilichonadi sera zake?Je, kuendelea kuamini itikadi za kisiasa bado ni relevant kwa karne hii ya siasa za kisasa zaidi? Hapana.
Nini kifanyike?
Achana na itikadi za kisiasa. Baki kuwa mfuasi binafsi wa Rais.
Kila siku msaidie Rais wako. Rais ni nchi. Rais ni wananchi. Ukimsaidia Rais umesaidia nchi. Umewasaidia wananchi.
Amebandika tu kusepa bila hata kujuwa alichobandika ni kitu gani.😀🤦🏾♂️Kuna chama cha SIASA kinaitwa RAIS?
Mpina (huzuni) asihame CCM aendelee kuwemo humo na kuwapa changamotoJe, kuendelea kuamini itikadi za kisiasa bado ni relevant kwa karne hii ya siasa za kisasa zaidi? Hapana.
Nini kifanyike?
Achana na itikadi za kisiasa. Baki kuwa mfuasi binafsi wa Rais.
Kila siku msaidie Rais wako. Rais ni nchi. Rais ni wananchi. Ukimsaidia Rais umesaidia nchi. Umewasaidia wananchi.
uwe mfuasi wa aliekuumba upate amaniKuna chama cha SIASA kinaitwa RAIS?
sasa yeye anataka tuwe wafuasi wa Raisuwe mfuasi wa aliekuumba upate amani
Huyo ni chawa.hapo alipo anawaza kichawa chawa tu.Kuna chama cha SIASA kinaitwa RAIS?
Idiots are feeling more and more comfortable to start threads!Je, kuendelea kuamini itikadi za kisiasa bado ni relevant kwa karne hii ya siasa za kisasa zaidi? Hapana.
Nini kifanyike?
Achana na itikadi za kisiasa. Baki kuwa mfuasi binafsi wa Rais.
Kila siku msaidie Rais wako. Rais ni nchi. Rais ni wananchi. Ukimsaidia Rais umesaidia nchi. Umewasaidia wananchi.
====
Pia soma:
Je, kuendelea kuamini itikadi za kisiasa bado ni relevant kwa karne hii ya siasa za kisasa zaidi? Hapana.
Nini kifanyike?
Achana na itikadi za kisiasa. Baki kuwa mfuasi binafsi wa Rais.
Kila siku msaidie Rais wako. Rais ni nchi. Rais ni wananchi. Ukimsaidia Rais umesaidia nchi. Umewasaidia wananchi.
====
Pia soma:
Shtuka. Umepangwa. Vyama vya siasa is the road to uRaisKuna chama cha SIASA kinaitwa RAIS?
Hanisaidii ki vipi? Kitendo cha yeye kuwa Rais tayari ana msaada kwa Taifa letu...unamsaidia Raisi wakati yeye hakusaidii?
Huwezi kuelewa. Upo sahihi kuendelea kuamini uaminivyoUnasema itikadi za chama siyo muhimu na wakati unapata uongozi kwa kupitia tiketi ya chama kilichonadi sera zake?
What a crooked reasoning?!
Kuna namna una hoja nzito sana. Tanzania kwanza vyama baadaye.Tunahitaji kuwa watanzania, vyama ni njia tu ya kutafuta uongozi wa nchi.
Tuwaunge mkono wale wote wenye facts za kuipeleka Tanzania mbele bila kujali vyama vyao.
Unyumbu, uchawa na vinavyofanana na hivyo ni kulihujumu taifa (kuhatarisha usalama wa taifa).
Kuna haja ya kuanzisha movement ya Tanzania kwanza, vyama baadaye, kwani inaelekea vyama na hata dini zinaharibu uwezo wa watu wetu (wa Mungu) kufikiri kwa u sahihi.
Wanasiasa wetu hawana uthabiti na uadilifu (consistency and integrity).
Haiwezekani na haikubaliki mtu atuaminishe uelekeo huu leo, kesho ageuke kinyume bila sababu za msingi, tumpokee tumwamini bila kujali uharibifu katika fikra za vizazi vijavyo.