Mtumishiwetu
Senior Member
- Jul 13, 2022
- 196
- 346
Mbunge Luhaga Mpina Kada wa CCM anashambuliwa na wana CCM wenzake hadi kufikia kukatwa jina lake kugombea nafasi ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu yA tAIFA nEC kwa kosa la kusimamamia Ilani ya Uchaguzi ya Ccm ya mwaka 2020-2025 kurasa wa pili wa ilani kipengele (i) katika Bunge la Tanzania