Mtumishiwetu
Senior Member
- Jul 13, 2022
- 196
- 346
Pole ndg Mpina, mpotezee JPM, kubali zama zake zishakwisha, then tembea na kusifu na kum-chawa Maza, utakula mema ya nchi.Mbunge Luhaga Mpina Kada wa CCM anashambuliwa na wana CCM wenzake hadi kufikia kukatwa jina lake kugombea nafasi ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu yA tAIFA nEC kwa kosa la kusimamamia Ilani ya Uchaguzi ya Ccm ya mwaka 2020-2025 kurasa wa pili wa ilani kipengele (i) katika Bunge la Tanzania
View attachment 2421956
mpina anazungumzia utekelezaji wa ilani ya ccm hayo unayosema wewe mbona hayamo kwenye ilaniPole ndg Mpina, mpotezee JPM, kubali zama zake zishakwisha, then tembea na kusifu na kum-chawa Maza, utakula mema ya nchi.
Ukiendeleza ubishi, uwe na plan B, ubunge sahau 2025!
Akachukue course kwa kina Mwijaku ajue maana ya uchawa angeishiPole ndg Mpina, mpotezee JPM, kubali zama zake zishakwisha, then tembea na kusifu na kum-chawa Maza, utakula mema ya nchi.
Ukiendeleza ubishi, uwe na plan B, ubunge sahau 2025!
Ndio atajua kuwa samakai hana maisha nje ya majiMbunge Luhaga Mpina Kada wa CCM anashambuliwa na wana CCM wenzake hadi kufikia kukatwa jina lake kugombea nafasi ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu yA tAIFA nEC kwa kosa la kusimamamia Ilani ya Uchaguzi ya Ccm ya mwaka 2020-2025 kurasa wa pili wa ilani kipengele (i) katika Bunge la Tanzania
View attachment 2421956
KmmykSamia ni dictator
CCM inayoparanganyika ni faida kubwa kwa Watanzania.Mbunge Luhaga Mpina Kada wa CCM anashambuliwa na wana CCM wenzake hadi kufikia kukatwa jina lake kugombea nafasi ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu yA tAIFA nEC kwa kosa la kusimamamia Ilani ya Uchaguzi ya Ccm ya mwaka 2020-2025 kurasa wa pili wa ilani kipengele (i) katika Bunge la Tanzania
View attachment 2421956
Kumbe unaweza kujua kusoma lkn kudadavua ulichosoma ukashindwa?mpina anazungumzia utekelezaji wa ilani ya ccm hayo unayosema wewe mbona hayamo kwenye ilani