Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Kampeni hazijaanza lakini mambo ni motoo, yaani kila anayepata nafasi ni mwendo wa kujipigia chapuo tuu, kama hakupeleka alivyosema atapeleka jimboni huu ndio muda wa kuviwasilisha!
Wacha tuendelee kunywa mtori nyaa tutazikuta chini!
Mpina amepokelewa kwa shangwe ya kutosha Sakasaka katika jimbo la Kisesa, ameongea mambo mbalimbali ikiwemo kupeleka drip 500 ili kusaidia wananchi wa eneo hilo wanaohitaji huduma hiyo kuzipata kwa ufadhili wake.
Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mbali na hiyo ameahidi kutoa mifuko 100 ya simenti ili kufanikisha ujenzi wa zahanati Ming'ongwa, aahidi pia kutoa pambu za maji na mengine kede kede!
Wacha tuendelee kunywa mtori nyaa tutazikuta chini!
Mpina amepokelewa kwa shangwe ya kutosha Sakasaka katika jimbo la Kisesa, ameongea mambo mbalimbali ikiwemo kupeleka drip 500 ili kusaidia wananchi wa eneo hilo wanaohitaji huduma hiyo kuzipata kwa ufadhili wake.
Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mbali na hiyo ameahidi kutoa mifuko 100 ya simenti ili kufanikisha ujenzi wa zahanati Ming'ongwa, aahidi pia kutoa pambu za maji na mengine kede kede!