Mpina arejesha fomu ya kuomba UNEC wa CCM Mkoa wa Simiyu na UNEC CCM Viti 15 Tanzania Bara

Mpina arejesha fomu ya kuomba UNEC wa CCM Mkoa wa Simiyu na UNEC CCM Viti 15 Tanzania Bara

Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Joelson Mpina akikabidhiwa fomu na Katibu wa CCM Mkoa wa Simiyu, Mohammed Ali Khalfan kwa ajili ya kuomba ridhaa ya Chama cha Mapinduzi kuwania nafasi ya MNEC Mkoa wa Simiyu na MNEC kupitia Kundi la Viti 15 Tanzania Bara, Makao Makuu ya CCM Mkoa wa Simiyu Mjini Bariadi leo Oktoba 5, 2022.

FB_IMG_1648499814063.jpg
 
Back
Top Bottom