Mpina auwasha moto, amwambia Naibu Spika "Nimerejea Bungeni" ampiga swali gumu Naibu Waziri

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina ameuliza swali bungeni kwa mara ya kwanza baada ya kumaliza adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya Bunge, akitaka kufahamu mkakati wa haraka wa serikali katika kuhakikisha wananchi wa vijijini wanapata huduma za matibabu kwa kujenga na kumalizia zahanati ambazo wananchi walishajitolea kwa nguvu kazi.

Soma, Pia: Luhaga Mpina arejea Bungeni kwa mara ya kwanza baada ya kumaliza adhabu yake ya sakata la Sukari

Akijibu swali hilo kwa niaba ya Ofisi ya Rais TAMISEMI (Afya), Naibu Waziri Dkt. Festo Dugange ameeleza kuwa vijiji vyote vyenye sifa ya kujengewa zahanati vinaendelea kujengewa, na pia mitaa yote yenye sifa inajengewa zahanati kwa lengo la kuboresha huduma za afya vijijini.

Your browser is not able to display this video.
 
Kila nikiona bango la Itel nakuwa emotional hivi kweli kampuni ya electronics kuagiza tani za sukari??

Asante Mpina kwa kutufungua macho ya kuwa upigaji bado upo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…