Pre GE2025 Mpina: Mzee Kikwete Mwaka 2012 alikataa Mimi kufukuzwa CCM, mimi ni MwanaCCM kwa kuzaliwa siyo kujiandakisha!

Pre GE2025 Mpina: Mzee Kikwete Mwaka 2012 alikataa Mimi kufukuzwa CCM, mimi ni MwanaCCM kwa kuzaliwa siyo kujiandakisha!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mbunge wa Kisesa Komredi Mpina amesema wanaodhani atahama CCM na kwenda Chadema au Chama kingine chochote wanaojidanganya bure

Mpina amesema mwaka 2012 alipoipinga Bajeti ya Serikali baadhi ya Wanaccm walitaka afukuzwe Uanachama lakini Mwenyekiti wa CCM Wakati Ule Mzee Kikwete alikataa kwa sababu hoja zake zilikuwa za Msingi

Mpina amesema kamwe hatahama CCM kwa sababu yeye ni Mwanaccm kwa kuzaliwa siyo kujiandakisha.
---
Wapo baadhi ya wananchama wa CCM wameingiwa na wasiwasi kwamba nitahama CCM, mimi ni mwanaccm sio wa kuandikishwa bali ni wa kuzaliwa ninachosimamia Bungeni ni msingi imara ya Chama cha Mapinduzi”
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24

Credit: Mwanahalisi Digital

Mlale Unono 😀😀😀
 
Back
Top Bottom