Mpina na hatima ya nchi yetu

Mpina na hatima ya nchi yetu

Kitendo cha bunge la JMT kumkandia na kumtoa mbunge mpina, ni dhahiri shahiri tuna bunge la hovyo kabisa, imagine unamtoa mpina mle bungeni unabaki na nini sasa cha maaana kama suo gwajiboy peke yake
Gwajima mnafiki mkubwa kamlaani sana Mpina jana akiungana na wajinga wengine akina Msukuma na Kibajaji. Tatizo ni CCM wameamua kukumbatia wizi na ufisadi unaofanywa na viongozi wa serikali na ukisema ukweli unaonekana siyo mwenzao
 
Gwajima mnafiki mkubwa kamlaani sana Mpina jana akiungana na wajinga wengine akina Msukuma na Kibajaji. Tatizo ni CCM wameamua kukumbatia wizi na ufisadi unaofanywa na viongozi wa serikali na ukisema ukweli unaonekana siyo mwenzao
Kwa hiyo uchaguzi wa 2025 unaweza kurahisisha ushindi na kushindwa kwa baadhi ya wabunge kwa. Wanaompinga Mpina Vs wanao muunga mkono Mpina
 
Kwa hiyo uchaguzi wa 2025 unaweza kurahisisha ushindi na kushindwa kwa baadhi ya wabunge kwa. Wanaompinga Mpina Vs wanao muunga mkono Mpina
Kama uchaguzi ukiwa huru na wa haki, lakini kwa vile wameshanogewa na uharamia uliofanyika 2020 wanaweza wakautumia tena na sanduku la kura lisiwe na maana yoyote.
 
Gwajima mnafiki mkubwa kamlaani sana Mpina jana akiungana na wajinga wengine akina Msukuma na Kibajaji. Tatizo ni CCM wameamua kukumbatia wizi na ufisadi unaofanywa na viongozi wa serikali na ukisema ukweli unaonekana siyo mwenzao
Kwahiyo mla kondoo wa Bwana nayeye kaingia kwenye mfumo
 
Msukuma ana bifu la kudumu na mpina na hii ilianziaga enzi za jiwe la pembeni kupambana na uvuvi haramu ziwa victoria.

Msukuma alichomewa mitego na makokoro yake lakini pia gari zake zilikamatwa na samaki WA magendo.
 
Msukuma ana bifu la kudumu na mpina na hii ilianziaga enzi za jiwe la pembeni kupambana na uvuvi haramu ziwa victoria.

Msukuma alichomewa mitego na makokoro yake lakini pia gari zake zilikamatwa na samaki WA magendo.
Msukuma ana bifu za kijinga sana na hana uwezo wowote sema ushirikina ndo unakabeba kila uchaguzi
 
Kwa hiyo uchaguzi wa 2025 unaweza kurahisisha ushindi na kushindwa kwa baadhi ya wabunge kwa. Wanaompinga Mpina Vs wanao muunga mkono Mpina
Wananchi ni wasahaulifu ikifika uchaguzi washasahau.
 
Kwa hiyo uchaguzi wa 2025 unaweza kurahisisha ushindi na kushindwa kwa baadhi ya wabunge kwa. Wanaompinga Mpina Vs wanao muunga mkono Mpina
IN FACT UKIPATA MTU MAHIRI AKAANDAA KAMPENI NZURI ILIYOSTARABIKA NI RAHISI KUWAPIGA CHINI WABUNGE WENGI WA CHAMA CHANGU.TATIZO HATUJASTARABIKA KIHIVYO.MAANA KAMPENI ZETU ZIMEJAA MATUSI TU.
 
Back
Top Bottom