GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ushauri wangu Kwako endelea na Ubunge wako, piga Hela, Wekeza, ukipata nafasi ya Kuiba Iba au Piga Dili ili baadae Wewe na Familia yako mje kuishi vyema. Watanzania hawabebeki na hasa hawa ambao leo unaona wanajifanya Kukupa Sapoti ni Wanafiki, Waongo na Waoga yakikukuta watakugeuka na kukucheka. Ipo mifano mingi ya waliothubutu kama Wewe na leo wanajuta huku wakiwa wameshaharibu mifumo yao yote ya Awali.
Siasa za sasa za Tanzania zimekuwa za Kihuni na Mifumo ya Maisha ya Tanzania ni ya Kuabudu Matajiri tu siku zote. Ipo Siku utakuja Kunikumbuka GENTAMYCINE kwa huu Ukweli wangu japo najua Leo sitoeleweka nawe na Wengineo. Nimeona mengi na najua mengi pia hivyo zingatia haya niliyokuelezea hapa.
Asante.
Siasa za sasa za Tanzania zimekuwa za Kihuni na Mifumo ya Maisha ya Tanzania ni ya Kuabudu Matajiri tu siku zote. Ipo Siku utakuja Kunikumbuka GENTAMYCINE kwa huu Ukweli wangu japo najua Leo sitoeleweka nawe na Wengineo. Nimeona mengi na najua mengi pia hivyo zingatia haya niliyokuelezea hapa.
Asante.