Hii miti kwa sasa inapatikana sanasana nchi ya beninAfrican Blackwood, mojawapo ya miti ghali na adimu zaidi duniani.
Pia inajulikana kama "dhahabu nyeusi ya misitu".
Rangi yake nyeusi kali na ugumu wa kipekee huifanya kuhitajika katika tasnia mbalimbali, kama vile utengenezaji wa vyombo vya muziki na fanicha nzuri.
African Blackwood hupatikana katika maeneo kama vile Tanzania, Msumbiji na Zimbabwe.
View attachment 3262864
Wanachongeq vinyagoUmakondeni himejaa kibao