Orketeemi JF-Expert Member Joined Feb 12, 2013 Posts 5,063 Reaction score 12,866 Jun 8, 2019 #41 Kitandu Nkoru said: hakuna Shida mkuu kwani ile barua ya chadema kwa FIFA kuhusu Karia kuingiza siasa kwenye michezo ilishafika FIFA? Click to expand... karia alikosea lakini barua ya CDM ni kama mile ya Simba kutaka point FIFA badala ya uwanjani.
Kitandu Nkoru said: hakuna Shida mkuu kwani ile barua ya chadema kwa FIFA kuhusu Karia kuingiza siasa kwenye michezo ilishafika FIFA? Click to expand... karia alikosea lakini barua ya CDM ni kama mile ya Simba kutaka point FIFA badala ya uwanjani.
Peramiho yetu JF-Expert Member Joined May 25, 2018 Posts 5,303 Reaction score 14,983 Jun 8, 2019 #42 Muda wangu sasa wa kunyakua urais wa tff
Kitandu Nkoru JF-Expert Member Joined Jun 13, 2017 Posts 885 Reaction score 973 Jun 8, 2019 #43 mvuv said: karia alikosea lakini barua ya CDM ni kama mile ya Simba kutaka point FIFA badala ya uwanjani. Click to expand... itakuwa waliipata wataunganisha na hii kesi halafu itakuwa ni yechu yechu
mvuv said: karia alikosea lakini barua ya CDM ni kama mile ya Simba kutaka point FIFA badala ya uwanjani. Click to expand... itakuwa waliipata wataunganisha na hii kesi halafu itakuwa ni yechu yechu
Alvajumaa JF-Expert Member Joined Jul 5, 2018 Posts 5,039 Reaction score 6,253 Jun 9, 2019 #44 Victor wa happy said: Anaitwa wallet karia rekebisha Click to expand... Hahahhaha
ngajapo JF-Expert Member Joined Jun 3, 2012 Posts 1,782 Reaction score 3,525 Jun 9, 2019 #45 sasa nyie wana yanga msiompenda karia je mmeshamwandaa raisi wa TFF ambaye atakuwa msafi au!! maana kaka zenu akina wambura na wengineo wamewajaza huu jamii forum ili kuwachafua viongozi wa tff. punguani sana nyie
sasa nyie wana yanga msiompenda karia je mmeshamwandaa raisi wa TFF ambaye atakuwa msafi au!! maana kaka zenu akina wambura na wengineo wamewajaza huu jamii forum ili kuwachafua viongozi wa tff. punguani sana nyie