Nimejaribu kuzifuatilia kwa ukaribu sana timu zilizopo kwenye kundi la yanga na nimejiridhisha akuna timu inayoweza kumtisha yanga kwa uwezo, current performance, na kiufundi pia!
Yanga angeweza kutishika kama angepangwa na ahly ahly ya misri, au esperance ya Tunisia, maana hizo ndio timu Bora kwa sasa na tishio kwa ukanda wa waarabu!
Lakini timu zilizobaki kwa ukanda huo wa waarabu akuna timu ambayo inaweza kumtisha yanga kwa sasa iwe ugenini ama nyumbani yanga anao uwezo wa kubeba point mbele yao!
Yanga atapata changamoto kidogo akikutana na tp mazembe kwakuwa na wao wameimarika kwa sasa lakini sioni Mazembe akipata point kirahisi mbele ya yanga na wao wanalijua hilo!
Al hilal ya sudani, na Mc Algiers ya Algeria bado hazina uwezo wa kuchukua point mbele ya yanga hii ya sasa, pengine na wao wameingia ubaridi kukutana na yanga!
Cr belouzdad wanalo somo zuri msimu uliopita pia USMA Algiers wanalo somo pia!
Kwa maana iyo uzani wa ubora wa hizi timu zote yanga keshaufikia na kuuvuka kwa sasa kwa kuangalia current performance!
Najua Mpira unadunda lakini Mpira ni sayansi pia kinachoonekana ndicho tunachoenda nacho ayo mengine yakitokea itakuwa ni bonus lakini yanga anao uwezo wa kuongoza hili kundi kwa 60%
Yanga kacheza na timu za Algeria, kacheza na timu za Tunisia, kacheza na timu za misri, kwa maana iyo akuna mwarabu hapo anayeweza kujitokeza kucheza na yanga kichwa kichwa wanajua ni mpinzani wa aina Gani!
Wacha tusubili tuone lakini natoa 100% kwa yanga kutinga hatua ya robo fainali kwa mara nyingine Tena!
Yanga angeweza kutishika kama angepangwa na ahly ahly ya misri, au esperance ya Tunisia, maana hizo ndio timu Bora kwa sasa na tishio kwa ukanda wa waarabu!
Lakini timu zilizobaki kwa ukanda huo wa waarabu akuna timu ambayo inaweza kumtisha yanga kwa sasa iwe ugenini ama nyumbani yanga anao uwezo wa kubeba point mbele yao!
Yanga atapata changamoto kidogo akikutana na tp mazembe kwakuwa na wao wameimarika kwa sasa lakini sioni Mazembe akipata point kirahisi mbele ya yanga na wao wanalijua hilo!
Al hilal ya sudani, na Mc Algiers ya Algeria bado hazina uwezo wa kuchukua point mbele ya yanga hii ya sasa, pengine na wao wameingia ubaridi kukutana na yanga!
Cr belouzdad wanalo somo zuri msimu uliopita pia USMA Algiers wanalo somo pia!
Kwa maana iyo uzani wa ubora wa hizi timu zote yanga keshaufikia na kuuvuka kwa sasa kwa kuangalia current performance!
Najua Mpira unadunda lakini Mpira ni sayansi pia kinachoonekana ndicho tunachoenda nacho ayo mengine yakitokea itakuwa ni bonus lakini yanga anao uwezo wa kuongoza hili kundi kwa 60%
Yanga kacheza na timu za Algeria, kacheza na timu za Tunisia, kacheza na timu za misri, kwa maana iyo akuna mwarabu hapo anayeweza kujitokeza kucheza na yanga kichwa kichwa wanajua ni mpinzani wa aina Gani!
Wacha tusubili tuone lakini natoa 100% kwa yanga kutinga hatua ya robo fainali kwa mara nyingine Tena!