Mpira wa bongo miyeyusho wakati mwingine, Kuna mtu anasemwa ni mlezi na mwanachama wa timu mbili tofauti za ligi moja!

Mpira wa bongo miyeyusho wakati mwingine, Kuna mtu anasemwa ni mlezi na mwanachama wa timu mbili tofauti za ligi moja!

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Naona inasemwa semwa kwenye mitandao kwamba mkuu wa mkoa wa Mwanza Said Mtanda aliyeleta tafrani katika maandalizi ya Simba ni mlezi wa timu ya Pamba na mshabiki wa Yanga ambazo zote ziko ligi kuu ya Tanzania!

Sasa zinapokutana hizi timu mbili za Pamba na Yanga anakuwa upande gani au anatakiwa asimame upande gani??
 
Naona inasemwa semwa kwenye mitandao kwamba mkuu wa mkoa wa Mwanza Said Mtanda aliyeleta tafrani katika maandalizi ya Simba ni mlezi wa timu ya Pamba na mshabiki wa Yanga ambazo zote ziko ligi kuu ya Tanzania!

Sasa zinapokutana hizi timu mbili za Pamba na Yanga anakuwa upande gani au anatakiwa asimame upande gani??
Ni mlezi kutokana na nafasi yake kiuongozi ila ni shabiki wa Yanga kwa mapenzi yake mwenyewe (kutoka moyoni) so mpaka hapo ushapata jibu zikikutana Yanga na Pamba atakuwa upande upi.
 
Back
Top Bottom