Mpira Wa Kibongo Mbwembwe Nyingi Sana

Ambiele Kiviele

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
15,267
Reaction score
29,917
Man city anaongoza ligi kwa tofauti ya point 12.

Barcelona anaongoza ligi kwa tofauti ya points 11.

Buyern anaongoza ligi kwa tofauti ya point 16.

PSG anaongoza ligi kwa tofauti ya points 8.
Hawa wote husikii wakijiita mabingwa.

SIKIA SASA TZ KUNA TIMU INAONGOZA LIGI KWA TOFAUTI YA POINTI 2 TU LAKINI TAYARI WANAJIITA MABINGWA. ILA SIWALAUMU SANA AKILI ZAO ZINA UKOSEFU WA UBINGWA MIAKA MINGI SANA SO AKILI ZAO PIA HAZIWEZI KUWA SAWA.


Pia nashauri wakapimwe AKILI huenda kukosa ubingwa muda mrefu kunawatliwatoke
Povu Ruksa maana kwa akili zao lazima liwatoke[emoji205][emoji205]
 

Unagugumia kwa maumivu ya kudondokewa na mbao mbili na bado Azam J'mosi
 


Kweli mpira wetu maneno mengi. Inashangaza hata timu yenye fomu mbovu kabisa inashindwa kutoa heshima kwa timu zenye ubora uliodhahiri uwanjani.

Sisi mpira tunalazimisha, hautupendi
 
Mleta unafanya comparison ya soka la Ulaya na Afrika na TZ ikiwamo au unalenga nini?
Kama ni kufananisha au kutofautisha, basi weka vigezo ili uweze kutafuta majibu.
Kwa heshima ya soka haujatenda haki.
Mpira wetu umekosa vitu vingi sana...haya yanayofanyika ndiyo utamaduni wa mpira kokote kule.Hata huko Ulaya,mashabiki kindakindaki wanapigana vijembe tangu day one hadi final day.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…