Nimekuwa nikiangalia mahojiano ya manahodha wa timu zetu za mpira wa miguu wakihojiwa baada mechi, karibia wote walioshindwa au kutoka sare utawasikia wakisema "Kwanza namshukuru Mungu, mpira wa miguu unamatokeo 3 kushinda, kushindwa na kutoka sare. ..." huwa najiuliza hivi hakuna cha kuongea zaidi? Huwa sifurahii kwa hii sentensi wajieleze zaidi. .