Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,896
- 4,058
Yanga na Biashara wamecheza Uwanja wa Taifa kwenye pitch iliyo bora kabisa. Cha ajabu Yanga wameshindwa kabisa kucheza mpira unaoeleweka. Wanabutua butua tu.
Najiuliza hivi afisa uhamasishaji anapata nguvu wapi ya kuwavuta mashabiki waende uwanjani kuisapoti timu mbovu kama hii? Timu imewekeza kwenye mipira ya kurusha kama netball. Sijui kocha anafundisha nini kwenye session ya mazoezi.
Tusidanganyane Yanga ni mbovu, tena mbovu hasaaa! Ni uzembe wa wazi wa Biashara ndiyo ulioipa ushindi Yanga (1:0)
Sidhani kama tarehe 4 mashabiki wa Yanga watajitokeza kwa wingi maana hata sura zao ukiziangalia zimekata tamaa.
Yanga inasikitisha, inakatisha tamaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Najiuliza hivi afisa uhamasishaji anapata nguvu wapi ya kuwavuta mashabiki waende uwanjani kuisapoti timu mbovu kama hii? Timu imewekeza kwenye mipira ya kurusha kama netball. Sijui kocha anafundisha nini kwenye session ya mazoezi.
Tusidanganyane Yanga ni mbovu, tena mbovu hasaaa! Ni uzembe wa wazi wa Biashara ndiyo ulioipa ushindi Yanga (1:0)
Sidhani kama tarehe 4 mashabiki wa Yanga watajitokeza kwa wingi maana hata sura zao ukiziangalia zimekata tamaa.
Yanga inasikitisha, inakatisha tamaa.
Sent using Jamii Forums mobile app